Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20211216_201116.jpg
 
Nyakabindi hukulisikia hilo neno kweli? Hata sijui kwa nini Wasukuma walikuachia ukaondoka aisee. Una bahati sana kwa sababu una sifa zote wanazozitafutaga (na zaidi)
Nililisikia
Nimekumbuka nikacheka sana..
He he he...N'tuzu nyie hamueleweki aisee..
Nadhani kigezo cha rangi nilitupwa nje ya shindano..si mnajua ugonjwa wenu SYB

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom