Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Sheikh wangu umetag visu vitupu naona haahahah
Sheikh wangu umetag visu vitupu naona haahahah
Una makusudi ujue niko naswampa Nina njaa balaa!!Usinisahau as usual! Naona chapati lainiii
Siku hizi nimezeekaEwaaaaah!!
Hivi Mshana siku hizi hamna yale mashindano. Au nyie wadhamini mmefulia?
Nataka nishindane mimi , Saint Anne na Depal .

Wewe dogo unapenda picha balaaaa hahahaahahahahaSafi😍
Wiii

Hivi sjaelewa niliona kama umeniddai picha🤣🤣🤣🤣
😂Karibuuu, hapana chezea!Una makusudi ujue niko naswampa Nina njaa balaa!!😋😋😋😋 Usinisahau as usual! Naona chapati lainiii
Nakudai naile kitu nilokuletea fanya wepesi basi!
🤣🤣🤣🤣🤣 Nawewe tag rafiki!!🤣🤣🤣Sheikh wangu umetag visu vitupu naona haahahah
Duh! Nitakutag ijayo!!Sheikh wangu umetag visu vitupu naona haahahah
Sijaiona yako muda mrefu sasa hadi naanza kukusahau kaka yangu habdsome pande la mtuWewe dogo unapenda picha balaaaa hahahaahahahaha

Asante , Wii ndio nikufundishe za kusukuma sasa!Wiii
Uko vizuri.
Yaniii! Umejua kulinyanyasa tumbo langu kisaikolojia 🤣🤣🤣😁 hakii!😂Karibuuu, hapana chezea!
YaaniYaani yanakupitaje sasa kwa mfano na wakati ndiyo mambo yako.![]()




Uniombee sana tena.Kwahiyo best unamaanisha kwamba wewe unahangaika hangaika?
Eagerly waiting 😁!Ndiwoooo ndiwoooooooooo
Za kusukuma nazijua mno wiii.,,hapa kakayako amempata mwenyewe.Asante , Wii ndio nikufundishe za kusukuma sasa!





Aiseeee honestly hiyo chapati ukiiona unajua hii iko sawa
SawaHapana mimi nataka nishindanishwe na nyie wazee wenzangu. Hao mabinti watanitoa mchezoni mapema sana.


