Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,555
[emoji28][emoji28][emoji28]Don huyo mlevi wa matawi ya juu.
Tu kvant ni twa walala hoi.
[emoji28][emoji28][emoji28]Don huyo mlevi wa matawi ya juu.
Tu kvant ni twa walala hoi.
Itakua umestua kidogoNimepiga vyombo[emoji23][emoji38]
Yawezekana unachat na mwanafunzi wako bila kujijua[emoji23]Upo UDSM?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Itakua umestua kidogo
Bia zake za bei bei.[emoji28][emoji28][emoji28]
Huyu alishamove on yupo na baba mtumishi kitambo@cocasticHuwezi baba mtumishi
Nitakutetea[emoji23]
Unapenda mama mtumishi ateseke kweli??
[emoji23][emoji23][emoji23] Mwalimu gani mlevi kama mimiYawezekana unachat na mwanafunzi wako bila kujijua[emoji23]
Kamekazana kanakuita ex shem ex shem kumbe ex shem ndio anamlima mapindi hapo yudizim
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mwalimu gani mlevi kama mimi
Mimi na baba mtumishi Pep tunajadili mambo ya utumishi na huduma za Kristo[emoji23]Huyu alishamove on yupo na baba mtumishi kitambo@cocastic
Ndio zenu watumishi[emoji28]Mimi na baba mtumishi Pep tunajadili mambo ya utumishi na huduma za Kristo[emoji23]
Inawezekana ni classmates[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana
Kawaida yenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema uwa sipost hapa nikiwa nakunywa kvant[emoji23]Bia zake za bei bei.
Ukinywa ya bei ndogo basi ni Kilimanjaro.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sema uwa sipost hapa nikiwa nakunywa kvant[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Inawezekana ni classmates
Zetu zipi?[emoji23]Ndio zenu watumishi[emoji28]
Yeah, kwa mwanaume...not badMzuri kwa mwanaume [emoji7][emoji7]
Kitu ukikimiss maana yake uwa unakitumia[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Itakuwa mara moja moja sana na unakunywa kwa sababu umeimiss lakini siyo kwa sababu umekosa hela.
Uwa mnasema mna mambo ya kujadili ya kitumishi[emoji28][emoji28][emoji28] kumbe mna yenuZetu zipi?[emoji23]
Baba mtumishi una mwandiko mzuri[emoji7]Yeah, kwa mwanaume...not bad
Ila kwa wadada wanaojua kuandika vizuri kama mama mtumishi Saint Anne hayo ni matumizi mabovu ya karatasi na wino [emoji1787][emoji1787]
Tunashika wingu[emoji23]Uwa mnasema mna mambo ya kujadili ya kitumishi[emoji28][emoji28][emoji28] kumbe mna yenu