Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,509
- 235,214
Don huyo mlevi wa matawi ya juu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijawahi kumuona akipost Bingwa au Balimi khaaah, uwiiiiih
Tu kvant ni twa walala hoi.
Don huyo mlevi wa matawi ya juu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijawahi kumuona akipost Bingwa au Balimi khaaah, uwiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio wanadamu ndo wabaya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiih. cc wee una nn lakini?Hujatulia Jack nakwambia
......
Mheshimiwa nimekwisha kueleza
..
Maneno matamu umejwisha niambia
Lakini hata moja bado hujatimiza
Hujatulia h.....nakuambia
[emoji444][emoji444][emoji444][emoji444][emoji444][emoji444][emoji444]
Ray C &Temba
Amepost picha,umemuona alivyo gentleman??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu huko mfanye fanye ntakua MC, si unajua balaa langu lazimaa ninogeshe ukumbi, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa nasikiliza hizi nyimbo old skuli[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiih. cc wee una nn lakini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambiaje shos, kila akienda kwa rafk zake wanamkataa, kila akijaribu iv wapi, sjui hata nan alimuambia aje kwangu, mtu sina mazoea nae wala hata sijawah kuongea nae, tunaona kwa macho bas,Akaishije the rest days!?![emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utanifundisha na mie.Kesho naanza na Saint Anna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msinambie mme move on! HahahahMtu ashasonga mbele kama injili wewe unasuluhisha nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Don huyo mlevi wa matawi ya juu.
Tu kvant ni twa walala hoi.
Ukiachwa achika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msinambie mme move on! Hahahah
Andaa tu tumbo lako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utanifundisha na mie.
[emoji1]Hujatulia Jack nakwambia
......
Mheshimiwa nimekwisha kueleza
..
Maneno matamu umejwisha niambia
Lakini hata moja bado hujatimiza
Hujatulia h.....nakuambia
[emoji444][emoji444][emoji444][emoji444][emoji444][emoji444][emoji444]
Ray C &Temba
Siwezi kurudi babeFanya kurudi kwa mtakatifu wako
[emoji28][emoji28][emoji28]Mtu ashasonga mbele kama injili wewe unasuluhisha nini?
Upo UDSM?Aaaah bibi mzee huyo hajuagi, yaan huo ukiingia pale gate la UDSM videmu vyote vinapaparika, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanapenda watu wanaovaa hivyo, wanajua pesa ziko mlangoni kwao. [emoji23][emoji23][emoji23]
Una mistari balaaaUkiachwa achika
Ukitemwa temeka ahh
Nnananana yanini kung'ang'ania ....
Barnaba boy[emoji444][emoji444][emoji444]
Huwezi baba mtumishiUmedhamiria baba mtumishi aishie mikononi mwa mataga? [emoji58]
Nimepiga vyombo[emoji23][emoji38]Una mistari balaaa