Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Akaishije the rest days!?!
nakuambiaje shos, kila akienda kwa rafk zake wanamkataa, kila akijaribu iv wapi, sjui hata nan alimuambia aje kwangu, mtu sina mazoea nae wala hata sijawah kuongea nae, tunaona kwa macho bas,

Yaan nlimuonea huruma, nkampa 60k, akashukuru, ananambia "nlijua kwako lazima ntapata" nkamuambia je na mie nisipokua nayo anajibu "wee hela yako unafanyia nini kununua maandazi? " nlicheka sana

Chuo urafiki wa mdomoni, sio kusaidiana khaaah

Sijui ilipoisha alifanyaje hata
 
Back
Top Bottom