Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Don huyo mlevi wa matawi ya juu.sijawahi kumuona akipost Bingwa au Balimi khaaah, uwiiiiih
Tu kvant ni twa walala hoi.
Don huyo mlevi wa matawi ya juu.sijawahi kumuona akipost Bingwa au Balimi khaaah, uwiiiiih
sio wanadamu ndo wabaya?




Hujatulia Jack nakwambia
......
Mheshimiwa nimekwisha kueleza
..
Maneno matamu umejwisha niambia
Lakini hata moja bado hujatimiza
Hujatulia h.....nakuambia
Ray C &Temba





mbavu zangu mie uwiiih. cc wee una nn lakini?Amepost picha,umemuona alivyo gentleman??hebu huko mfanye fanye ntakua MC, si unajua balaa langu lazimaa ninogeshe ukumbi,
![]()
Nilikuwa nasikiliza hizi nyimbo old skulimbavu zangu mie uwiiih. cc wee una nn lakini?

Akaishije the rest days!?!![]()




nakuambiaje shos, kila akienda kwa rafk zake wanamkataa, kila akijaribu iv wapi, sjui hata nan alimuambia aje kwangu, mtu sina mazoea nae wala hata sijawah kuongea nae, tunaona kwa macho bas, 


nkamuambia je na mie nisipokua nayo anajibu "wee hela yako unafanyia nini kununua maandazi? " nlicheka sana 









Mtu ashasonga mbele kama injili wewe unasuluhisha nini?




msinambie mme move on! HahahahDon huyo mlevi wa matawi ya juu.
Tu kvant ni twa walala hoi.




kwa kweli.Ukiachwa achikamsinambie mme move on! Hahahah



Andaa tu tumbo lako.utanifundisha na mie.
Hujatulia Jack nakwambia
......
Mheshimiwa nimekwisha kueleza
..
Maneno matamu umejwisha niambia
Lakini hata moja bado hujatimiza
Hujatulia h.....nakuambia
Ray C &Temba

Siwezi kurudi babeFanya kurudi kwa mtakatifu wako
Upo UDSM?Aaaah bibi mzee huyo hajuagi, yaan huo ukiingia pale gate la UDSM videmu vyote vinapaparika,
Wanapenda watu wanaovaa hivyo, wanajua pesa ziko mlangoni kwao.![]()
Una mistari balaaaUkiachwa achika
Ukitemwa temeka ahh
Nnananana yanini kung'ang'ania ....
Barnaba boy![]()
Huwezi baba mtumishiUmedhamiria baba mtumishi aishie mikononi mwa mataga?![]()
