Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

I miss u my babe valee Valentina
IMG_20211213_212546.jpg
 
Umekaa kiume. Ndo kusema mwandiko wangu umevaa suruali?

Itoshe tu kusema huu wa kwako haujakaa kike tu, umekaa kama wa mwanamwali mzuri
Nauona upo kigentleman kama mwenyewe mwenye mwandiko baba mtumishi


Hahaha! Huu wangu naucharaza kama bata umeupenda??
Nitakuandikia ujumbe kila siku baba
 
  • Nzuri
Reactions: Pep
Kwa msaada wa filter

Nina tege la haja baba mtumishi
Ni kitu gani kile kitokacho jangwani kama mnara wa moshi

Kinukiacho manemane na ubani

Manukato yauzwayo na wafanyabiashara?

Tazama! ni miguu mizuri ya mama mtumishi
 
Ni kitu gani kile kitokacho jangwani kama mnara wa moshi

Kinukiacho manemane na ubani

Manukato yauzwayo na wafanyabiashara?

Tazama! ni miguu mizuri ya mama mtumishi
Baba mtumishi hapa umenipiga kamba
Tuwachane na hizi habari.


Mama mtumishi anasubiri uitoe ile michoro kwenye picha nafsi yake iridhike na alale akiwa na furaha tele baba.
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Nauona upo kigentleman kama mwenyewe mwenye mwandiko baba mtumishi


Hahaha! Huu wangu naucharaza kama bata umeupenda??
Nitakuandikia ujumbe kila siku baba
Maneno yako yamefurahisha moyo wangu, ee mama mtumishi,

Mwandiko wako ni mtamu ajabu,

Ni mtamu kuliko divai.
 
Baba mtumishi hapa umenipiga kamba
Tuwachane na hizi habari.


Mama mtumishi anasubiri uitoe ile michoro kwenye picha nafsi yake iridhike na alale akiwa na furaha tele baba.
Amen amen nakuambia.

Maneno yangu hayana uongo hata chembe 🤣🤣

Mataga watani decode mama mtumishi
 
Maneno yako yamefurahisha moyo wangu, ee mama mtumishi,

Mwandiko wako ni mtamu ajabu,

Ni mtamu kuliko divai.
Kweli??
Ngoja kesho nijaribu kunywa divai ili nifanye ulinganifu wa utamu.

Unaniruhusu baba??
 
  • Dislike
Reactions: Pep
Back
Top Bottom