Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mh mtakatifu hizi nyimbo unazijua?Oya oya kaa ukijua starehe gharama
Oya kaa ukijua kwamba
Oyaa kaa ukijua gharana
Tundaman
Nipo tiptop naimba nyimbo zao.
Kuna pombe huko nimeandaliwa na ISO M.CodD inaitwa smith nini nini sijui ice off.
Kumbe imerudi sokoni na hausemi![]()



Kwahiyo siyo smart?Smart wapi!
Au kwa vile anakunywa pombe za bei![]()
Sana tu..Mh mtakatifu hizi nyimbo unazijua?
Expert unaniangusha.
HeeeSana tu..
Mbona kipindi nakushushia verse enzi hizo hukuuliza ?

Hujatulia Jack nakwambiaKwahiyo siyo smart?







Unajidai ndiyo unaniona leo eeh??Heee![]()
Fanya kurudi kwa mtakatifu wakoUwa sina mambo mengi kabisa hadi leo nabaki najiuliza kwann Mtakatifu kaniachalabda sababu ni Jack Daniels
Mhuuuu 😁Haha kumbe na wewe uko kama mimi? Mimi nikiwa napiga picha eneo fulani lazima nipige angle zote kulia, kushoto, mbele na nyuma utafikiri navuka barabara!
😳🤣🤣🤣🤣🤣Hii miguu kama nimeshawahi kuiona sehemu, lakini siikumbuki ni wapi!![]()
😜😜😜🤩🤩Huku Tanga tunasema Mashaallah! Mguu ndiwo...😋😋😋
Huyo ni chaguo lakoFanya kurudi kwa mtakatifu wako
Akaishije the rest days!?!Kna mwanafunz alikula boom lote sku 1 club, itakua alinunua hizo Jack Daniels

Karibu Tanga..🤔😜😜😜🤩🤩
Acha kunitesa basi baba mtumishiMimi nina kazi moja tu hapa....kuvizia mataga wakalale ndo niweke sasa![]()


