Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Hawezi kufa,
Cha moto tu ndio atakiona
Huyo bebe wake muda kama huu nilikuwa namshushia verse hizo za wabana pua.



Hawezi kufa,
Cha moto tu ndio atakiona
Huyo bebe wake muda kama huu nilikuwa namshushia verse hizo za wabana pua.



Nimeukumbuka ni wa muda kidogo ila nilikua siupendagi, nimecheka nilivouona umeandika nikasema ngoja nikutanie. Ila ni mbaya kweli sasa "muache makelele ya nini😂"
Ujue nimekaa nikaukumbuka tu.
Nimeandika ili kesho niudownload
Nikiwa mkubwa,nataka niwe nakula vyakula kama ulavyo shemView attachment 2041903
Dinner was fierce....!!!

Iiihhhh!! Unaongea namimi!!🙄Na wewe niwekee wako hapa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Baby Valee utaniua kwa presha...where are u?
Huyu mtoto anataka kunitoa roho...sijui ndio nimeachwa kisela daah
wakubwa wanafaidi mno, imagine anayemmiliki mawardatNikiwa mkubwa,nataka niwe nakula vyakula kama ulavyo shem![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Pole jamani I feel you venye uko na Moody afu mbebez hatokei Saint Anne Lee mmemuona Valentina huko??!! Mwambie I Anatafutwa huku!Huyu mtoto anataka kunitoa roho...sijui ndio nimeachwa kisela daah
Kwakweli wamtafute fastaaPole jamani I feel you venye uko na Moody afu mbebez hatokei Saint Anne Lee mmemuona Valentina huko??!! Mwambie I Anatafutwa huku!
Nimeukumbuka ni wa muda kidogo ila nilikua siupendagi, nimecheka nilivouona umeandika nikasema ngoja nikutanie. Ila ni mbaya kweli sasa "muache makelele ya nini"









Apambane kumtafuta asikae kizembePole jamani I feel you venye uko na Moody afu mbebez hatokei Saint Anne Lee mmemuona Valentina huko??!! Mwambie I Anatafutwa huku!
Umri ni namba tu mkuu![]()
Huyu dada nilimuelewaga sana sema basi umri umemtupa amekua mtu mzima sasa.
Ulisikia wapi mtu anamsaidia ex wake kwenye mapenzi
