Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

My city,green city....MBEYAView attachment 2041753
Mbeya inantamanisha kuishi sababu ya kuwa na gharama ndogo za kuishi, tatizo Kuna vibaka balaa. Na Mimi mpenda kutemmbea usiku na kusafiri usiku ndio hatari.
Kuna siku nimefika saa Tisa night nkakutana nao, bahati nzuri nilikuwa na mwenyeji la sivyo ingekuwa balaa.

Juzi nimelala lodge maeneo ya Soweto, mida ya saa Saba night Kali nipo busy napambana na report naskia huko nje barabarani mwizi anapigwa, mwanaume analia kama mtoto wa kike.
All in all Mbeya kuzuri.
IMG_20211208_072006_8.jpg
IMG_20211210_121517_4.jpg
 
Mbeya inantamanisha kuishi sababu ya kuwa na gharama ndogo za kuishi, tatizo Kuna vibaka balaa. Na Mimi mpenda kutemmbea usiku na kusafiri usiku ndio hatari.
Kuna siku nimefika saa Tisa night nkakutana nao, bahati nzuri nilikuwa na mwenyeji la sivyo ingekuwa balaa.

Juzi nimelala lodge maeneo ya Soweto, mida ya saa Saba night Kali nipo busy napambana na report naskia huko nje barabarani mwizi anapigwa, mwanaume analia kama mtoto wa kike.
All in all Mbeya kuzuri.View attachment 2041890View attachment 2041891
Nimeiona nyumba yetu pale mlimani
 
Mhhh wee kwa ukongwe gani ulonao mpaka unajua zilotukisa Enzi hizo?? Wakati juzijuzi tu Umemaliza advance...nasahii bado unasoma au ndo elimu haina mwisho!!!
Mimi mkubwa.
Nimesoma mmemkwa


Nyimbo za 2013 kurudi nyuma ndio nazijua sasa.
Hizi za watoto wa sasa sizifahamu.
 
Back
Top Bottom