Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Dah kesho Mungu akijaalia nikanunue grand malt.Mazingira kabla ya kulala🥱View attachment 2041882
😀😀😀😀Yake hapana! Uliona ule upaja alotuma juzi lakini??!! Upaja upajaaa!
Sema weweDah kesho Mungu akijaalia nikanunue grand malt.
Umenitamanisha.
Unaxitaka?
Yake hapana! Uliona ule upaja alotuma juzi lakini??!! Upaja upajaaa!




Mangwair na prof j seriously??? Wee mtakatifu eeeehhh!! !! Aiseeehhh!!Shusha nondo za prof j hapa na Mangwair tutaongea lugha moja.
Hizo za wabana pua huwa siangalii![]()
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai
NdiyoHahahahah mimi nazungumzia mida hii
Zaaaallliii la mentaliiiShusha nondo za prof j hapa na Mangwair tutaongea lugha moja.
Hizo za wabana pua huwa siangalii![]()





katika mtaa


Alafu utamsikia anasema maisha magumu wakat anacomplicate yeyMangwair na prof j seriously??? Wee mtakatifu eeeehhh!! !! Aiseeehhh!!
Wenzako wanachangamshana damu na mabeibee...mfano valeeeeNdiyo
Nipe za jay nichane mistari hapa nichangamshe akili kabla ya kulala.
Kuna wakati mteja anachohitaji ni maneno mazuri kutoka Kwa seller ili atoe mzigoView attachment 2041874
Dalali wa kibongo.
Low mileage
Ina mwezi tu toka itoke Japan
Unyama ni mwingi, chuma ya motooo
Kubadilishana inaruhusiwa.
Full options
push to start
new model
Mikoani inafika
Usajili na kila kitu.
![]()
gari kaliNaitwa VickyZaaaallliii la mentaliii
Lilinikuta wakati mi nna njaa
Nikapendwa na demu mkali
Na kuwaacha watu wote wakinishangaaakatika mtaa
![]()
.....Eehh mtumee!! Kwani wee unataka nini mtakatifu???Unataka kuninyima nini?
Bebe wake nimechangamsha naye damu mwaka mzima hadi nimekinaiWenzako wanachangamshana damu na mabeibee...mfano valeeee

Sasa hapo ndo unakosea ,anatakiwa aimbe wa kiumeZaaaallliii la mentaliii
Lilinikuta wakati mi nna njaa
Nikapendwa na demu mkali
Na kuwaacha watu wote wakinishangaaakatika mtaa
![]()