Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Usiku mwema kwenu
20211210_003026.jpg
 
Tunatambuana kwa ID bandia.. Hatujuani maisha halisi nje ya JF! Ni sisi sisi miongoni mwetu na kati yetu kuna GREAT THINKERS na GREAT SINKERS!
Watu wengi hawajafahamu kuwa self-respect ni kitu muhimu sana. Kuliko kufika huku sometimes ni vizuri mmoja akakaa kimya, hii kudhalilishana siyo nzuri kabisa. Unaweza ukawa unamtukana mtu yeye akatake personal akaenda kujidhuru mbele ya safari. Mambo ya cyberbullying kwa nchi nyingi ni kuvunja sheria za mtandaoni, lakini hapa kwetu watu hawachukulii serious kabisa.
Kuna mtu anaweza kuwa anakufahamu halafu akapitia uzi akasoma maneno machafu unayopost mtandaoni ikaathiri hata career yako ama heshima yako. Na hata kama hatufahamiani ni vizuri kuheshimiana tu na kuepusha kufika mbali na kutoleana maneno machafu. Tunakuwa kama hatujaelimika.
 
Watu wengi hawajafahamu kuwa self-respect ni kitu muhimu sana. Kuliko kufika huku sometimes ni vizuri mmoja akakaa kimya, hii kudhalilishana siyo nzuri kabisa. Unaweza ukawa unamtukana mtu yeye akatake personal akaenda kujidhuru mbele ya safari. Mambo ya cyberbullying kwa nchi nyingi ni kuvunja sheria za mtandaoni, lakini hapa kwetu watu hawachukulii serious kabisa.
Kuna mtu anaweza kuwa anakufahamu halafu akapitia uzi akasoma maneno machafu unayopost mtandaoni ikaathiri hata career yako ama heshima yako. Na hata kama hatufahamiani ni vizuri kuheshimiana tu na kuepusha kufika mbali na kutoleana maneno machafu. Tunakuwa kama hatujaelimika.
Naamini uongozi utachukua hatua na leo tutakuwa na utulivu kwenye jukwaa letu pendwa
 
Back
Top Bottom