Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Ni ya Google hiyo
Ex wangu amepata chombo![]()
Ni ya Google hiyo
Ex wangu amepata chombo![]()
Mkuu dimpozi ni ulemavu,alafu huyo jamaa hayuko Sawa,na kumpost hapa utaamsha Ile mada yetu pendwa
Mr blue anazo,quick rocka anazo lkn ushasikia wanajisifia dimpozi na uhandsome km huyu jamaa?..yes wagonjwa wananipenda wanasema doctor handsome![]()










Nami nipeleke huko DKwanini umetoka likes? Mbona hakunaga bughudha kule?
Mkuu dimpozi ni ulemavu,alafu huyo jamaa hayuko Sawa,na kumpost hapa utaamsha Ile mada yetu pendwa
Mr blue anazo,quick rocka anazo lkn ushasikia wanajisifia dimpozi na uhandsome km huyu jamaa?..yes wagonjwa wananipenda wanasema doctor handsome![]()
Nimekwambia ile nilipoteza banaHahaaa si umesema umesave ile picha wewe?
Ndo uangalie hiyo sasa


Og yake uliyoweka mwanzo ninayo.Ni ya Google hiyo

Ndo yale unaenda kukutana na mtu umevaa earphone , hiyo ya googleOg yake uliyoweka mwanzo ninayo.
Nina kumbukumb![]()
Kwani wee ulivosoma umeelewaje? By the way sitaki kujadili hili sahivi. Relaaaaax.Duhh! Kumbe we gay?
Alikutongoza?
Yaani balaa tupu😅,hivi nikizaa na Depal si mtoto atatoboka mashavu kabisa?Mzee baba una kidimpoz😅 hii sio sawa! Ntoto Depal naona kaelewa show
Waupumzishe uzi japo kwa siku mbili hivi mpaka mambo yatakapotulia



Cariha amesharudisha majeshi uzini.
Ngoja nikaendelee kucheka.




nakuja huko kanitag bas cc nawee lolIla nanyi madaktari mna kazi ngumu. Malaika kama huyu ndo anakujia eti umfanyie physical exam mh! Labda huko chuoni kwenu huwa mnafundishwa jinsi ya kuepuka vishawishi....Jamani kuna wanawake warembo duniani![]()
Ndo yale unaenda kukutana na mtu umevaa earphone , hiyo ya google

Noted mkuu..Ila umening'ang'ania sn ktk hili😅Samahani kama nimekosea kumuweka huyo jamaa hapa. Najua ni msanii na ana dimpozi...na anajivunia kweli kweli... mengine aisee siyajui...
Pointi yangu ilikuwa ni kwamba mara nyingi tunachodhani kuwa ni udhaifu tunaweza kukibadilisha na kuwa jambo jema tu. Na mifano ipo mingi...
View attachment 2038804
Mike Strahan (pichani), kwa mfano ana mwanya. Na mwanya kwa Wamarekani ni sawa na kilema na wengi huishia kuiziba. Yeye walipomwambia kuwa kama anataka kuwa mtangazaji wa TV itabidi kwanza auzibe huo mwanya wake alikataa. Leo hii mwanya ndiyo umegeuka kuwa kitambulisho chake na ana shoo karibu tatu zinazofanya vizuri.
Sasa kama wewe hapo. Mungu ndo kakupa hizo dimpozi. Una nini kingine cha kufanya mbali na kujikubali na kuzifanya ziwe sehemu yako? Hospitali nzima unajulika kama Dr. mwenye dimpozi tayari si ujiko huo? Jibidishe sasa uwe daktari bora kabisa kabisa. Hizo dimpozi zitageuka na kuwa ishara ya weledi katika kazi yako. Gifted hands (with dimples!)....
Hii ndo jeeeeiiiieefuuu
Usitutishe bana
Yes ndy maana tunavaa makoti mkuu😅.Kuna muda mambo uharibika kbs lkn koti linaziba udhaifuIla nanyi madaktari mna kazi ngumu. Malaika kama huyu ndo anakujia eti umfanyie physical exam mh! Labda huko chuoni kwenu huwa mnafundishwa jinsi ya kuepuka vishawishi....
Weka basi na wewe picha yako ya google .Hii ndo jeeeeiiiieefuuu
