Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

cc usinichekeshe mie, mambo ya humu na hiyo funga yako mbna mbali mbali sana

Wee mwenyewe angalia vituko na vibweka vya humu, unadhan nini sasa?

Yaan inakua sizitaki mbichi hizi, kumbe umeshindwa kupanda juu.

Sitamkaribisha shetani yoyote aharibu funga yangu.


Niacheni mimi
 
Nipo kote kote mkuu wangu. Kule kwenye likes nilishatoka mazima. Huwa nasaka sehemu salama ambako kuna upendo, vicheko na furaha. Huku kulikuwa salama sema tu hivi karibuni kuna pepo la ushoga limeng'ang'ania halitaki kuondoka na wananzengo wanaporomosheana matusi hatari. Kuna haja ya kupumzika kidogo mpaka kutakapotulia. Kama kuna chimbo jingine ambako kuna furaha na upendo kama ilivyokuwa hapa nielekeze
Ata mimi nililiona humu ila naona wengine wanaona poa ,nilichofanya nikawaignore post zao sioni ila hiz siku imekuwa too much walishawah kunikimbiza kwenye hili jukwaa
 
Mjukuu wangu mpendwa nadhani imetosha sasa.. Nadhani ukiweza tutoe nafasi sasa kwenye muktadha wa mada maisha yasonge! Kwa utashi na hekima kuu una nafasi adhimu ya kufanya hili liwezekane
Babuuu unanionea sasa wallah iv, mbna mie nshakua cool na mambo yangu tangu mda, c we apo na huyo mwenzio ndo mmeleta hizo mada hapa tena, sijui chimao na huyo Congolese sijui

Sasa mie nimefanyaje tena?
 
Kwanini umetoka likes? Mbona hakunaga bughudha kule?

Nipo kote kote mkuu wangu. Kule kwenye likes nilishatoka mazima. Huwa nasaka sehemu salama ambako kuna upendo, vicheko na furaha. Huku kulikuwa salama sema tu hivi karibuni kuna pepo la ushoga limeng'ang'ania halitaki kuondoka na wananzengo wanaporomosheana matusi hatari. Kuna haja ya kupumzika kidogo mpaka kutakapotulia. Kama kuna chimbo jingine ambako kuna furaha na upendo kama ilivyokuwa hapa nielekeze
 
Nipo kote kote mkuu wangu. Kule kwenye likes nilishatoka mazima. Huwa nasaka sehemu salama ambako kuna upendo, vicheko na furaha. Huku kulikuwa salama sema tu hivi karibuni kuna pepo la ushoga limeng'ang'ania halitaki kuondoka na wananzengo wanaporomosheana matusi hatari. Kuna haja ya kupumzika kidogo mpaka kutakapotulia. Kama kuna chimbo jingine ambako kuna furaha na upendo kama ilivyokuwa hapa nielekeze
Kwenye likes nako shida ni gani?

Nahisi nina mwaka sijaingia
 
Nipo kote kote mkuu wangu. Kule kwenye likes nilishatoka mazima. Huwa nasaka sehemu salama ambako kuna upendo, vicheko na furaha. Huku kulikuwa salama sema tu hivi karibuni kuna pepo la ushoga limeng'ang'ania halitaki kuondoka na wananzengo wanaporomosheana matusi hatari. Kuna haja ya kupumzika kidogo mpaka kutakapotulia. Kama kuna chimbo jingine ambako kuna furaha na upendo kama ilivyokuwa hapa nielekeze
Ukipata chimbo nitag nami nikuje Hapa chefuuuu kabisa!
 
Na wewe unataka uende kulia?
Kuna mwamba wetu huko cariha anapangua hoja za wanaume wanaolialia
cariha chuma cha Mjerumani kile hata muwe mia hatetereki na hakimbii wala nini. Na ukijifanya kukosa ustaarabu na yeye anakosa vile vile. Kama kweli ni mwanamke basi ni ngangari kweli kweli yaani...japo in real life unaweza kumkuta ni mtu mpolee na mtiifu tu kwa mumewe/mpenzi...
 
Back
Top Bottom