Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
😘😘😘Awww![]()
😘😘😘Awww![]()
Mkuu nina imani hapo kwenye toyota umeiexclude LC VX.R V8. Hapa mjep alitulia asee.Nishawai safari na X5 masaa 15 nilinyoosha mikono na ndo nikaamini kuwa toyota zetu ni vyombo vya usafiri. mjerumani ametuliza akili sana kwenye gari zake
Kwahiyo nisubiri kupigwa tukio kumbeHumuelewi mwanzo hivi wakati hata matukio hajaanza kukupiga
Nilikuwa naye huyohuyo.

Basi nashukuru na nimefurahi umepokea ushauri wangu mkuu ubarikiweKweli niliandika hivyo. Nilifikiri wataishia kunitandika ban lakini hata saa haikupita nikakuta wameshabadilisha![]()


Mwingine tena?😓Huyu mchumba ulienipa kama simuelewi hivi
Nipe mwingine bana
😂😂😂Humuelewi mwanzo hivi wakati hata matukio hajaanza kukupiga
Nilikuwa naye huyohuyo.
Sasa si tulijua tutajisumbua bure tu maana kama kuhusu selfie tu tumesema hadi mbingu zimeona sembuse idSasa miaka zaidi ya 7 mbona mlikuwa hamsemi?![]()


Nitayarudisha tarehe 8 Januari mtumishi. Ndiyo tarehe ambayo nitaweza kubadili ID tena. Shimba mdogo hapana kwa kweli!
Nilikua natania babe wanguMwingine tena?![]()
Haha mie naonaga maherufi makubwa yanapendeza jina likiwa fupi mfano RRONDO ila jina likiwa refu dooh. Imagine yule interlacustrine region ajiite INTERLACUSTRINE REGION si atakuwa ni kama anatufokea sana jamani.Basi mimi nina tatizo; nayapenda yale maherufi yake makubwa![]()




Nilikuwa siyapendi jamaniKumbe tulikua wengi ambao yale maherufi makubwa yalikuwa yanatutisha![]()




Basi baba yaisheHabari za mbingu ni fiction tu, hazina hata ukweli wowote...![]()


Tukio,??Kwahiyo nisubiri kupigwa tukio kumbe
Babe Jack ni tukio gani nijiandae kisaikolojia kabisa baba?




Humuelewi mwanzo hivi wakati hata matukio hajaanza kukupiga
Nilikuwa naye huyohuyo.



Yani kuipata hiyo nafasi sasa dooh maana nao ni watu wa kusafirisafiri hawatuliiSasa nyinyi mmejitakia maana unaweza tereza chap ukadeke hata siku moja

