cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Kuna watopolo wamejipa uungu wa kuanza ku judge kwamba dhambi za wenzao ndo kubwa. Wanatamani hadi wengine wanyongwe. Mbigili kama hizi unaweza zirarua makofi tu kubabake walay![]()




kuna uzi huko watu wanatukana balaa, yaan wanahemkwa hadi unashangaa, wanajipa u Mungu hadi unasema hii lol










when I was young 




