Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

cocastic mjukuu wangu mpendwa hivi unajua ninini kiliangamiza miji ya Sodoma na Gomorrah ?
Sasa uniambie baada ya sodoma na gomorah kuangamizwa, na huu wa sasa umeibukaje? Naomba unijibu kwa ufasaha.

Afu huyo aliye iangamiza sodoma na gomorah anashindwa vipi kuangamiza tena saivi? au amewaomba mumsaidie?

Babuuh naomba nijibu kwa ufasaha, usihemkwe jibu kwa utulivu.
 
Huwezi nielewa asee.. Mie hapa nikikuambia nimeteoka kumfir@ mwanaume mwenzamgu na nikikuambia nimetoka kulala na grace.. utaona uzito wake mwenyewe kuna vitu havitamkiki kirahisi hata kuvisoma pia vina ukakasi. naongelewa uzito wa jambo yote ni makosa ila uzito si sawa
Kwangu vyote vina uzito sawa aisee.
Kwahiyo kawa unaona kulala na Grace ni dogo basi huo ni mtizamo wako.
 
Mimi sipo kwa mjadala wala sina maandiko nauliza hivi anaetazama kwa matamanio akapata zambi na alietekeleza tendo watalipwa sawa kama hawajatubu?
Wote hao ni kuteketea ziwa la moto mkuu.
Na kama wewe ni mlevi na ikitokea ukashindwa kutubu hadi kiama basi jua utaungana na shoga motoni ambaye hajatubu.
 
Nilimuuliza mtu shoga akitubu anaenda mbinguni au haendi? Akanijibu anaenda sasa maneno mengine ya nini ikiwa huyu mtu anaenda mbinguni?
Mnaweza kuwa sawa ila kuna mambo yatia kinyaa.

Hema pata picha kua man wako anainamishwa ni aibu kidume kubokolewa.
Tukichekelea kwa wenzetu mzunguko utakuja kutufikia

Wafumwe ke wakijirdhisha wenyewe na me nao kivyao aibu kubwa itaangukia wapi?
 
ndio maana nimekuambia hunielewi na hutokaa unielewe maana yangu, acha nikupishe asee. Kama unaoana weight ya mwanaume kumfiraaaa mwaume mwenzake na public akavimba ni sawa na ya mwanaume kulala na mpenzi wake ambao hawajabarikiwa _ sitaki kusema ok uasherati ila kama unaona roho ya dhambi hizo uzito unafanana hongera..
Mkuu acha kubishana nao Ngoja hii circle ije iingie katika familia zao ndio watajua Kama alieiba penseli na kufurwa ni sawa ama laah..SISI KAMA WAZAZI INATUUMIZA SANA HAYA MADOGO USIKUTE HAYANA HATA MTOTO HAYAJUI VILE INATUKATA
 
Mnaweza kuwa sawa ila kuna mambo yatia kinyaa.

Hema pata picha kua man wako anainamishwa ni aibu kidume kubokolewa.
Tukichekelea kwa wenzetu mzunguko utakuja kutufikia

Wafumwe ke wakijirdhisha wenyewe na me nao kivyao aibu kubwa itaangukia wapi?
Mkuu inawezekana kabisa wewe ufiraji unakutia kinyaa..na kweli unatia kinyaa.


Ila wengine hata ulevi unawatia kinyaa mno.

Mwingine uchawi unamtia kinyaa.


Kwahiyo vile unavyotiwa kinyaa na mwezio mfiraji ukute naye unamtia kinyaa hivyohivyo na ulevi au uongo wako.
 
ndio maana nimekuambia hunielewi na hutokaa unielewe maana yangu, acha nikupishe asee. Kama unaoana weight ya mwanaume kumfiraaaa mwaume mwenzake na public akavimba ni sawa na ya mwanaume kulala na mpenzi wake ambao hawajabarikiwa _ sitaki kusema ok uasherati ila kama unaona roho ya dhambi hizo uzito unafanana hongera..
Na wewe haunielewi

Endelea na weight zako mkuu
Mungu ana kipimo chake ambacho si chako.

Na hatutakaa kamwe tuelewane katika hili


Endelea tu na nyimbo za kuabudu mkuu,,huko tutaelewana.
 
Teh mkuu wewe ndiyo ulinisingizia kuwa mimi natetea ushoga au umesahau sasa kati ya mimi na wewe nani mnaa? Wewe umenipa maandiko kutoka kwenye biblia nami nimekupa andiko kutoka kwenye biblia ila cha ajabu nikikupa mimi unapinga ila ukinipa wewe unataka nikubali as if ninayokupa mimi natunga mwenyewe!

Kuna comment kule juu nilikuuliza shoga akitubu anaenda mbinguni au haendi ukanijibu anaenda na ukakubali kwamba hata naye anasamehewa kama wengine hadi ukaingiza sijui habari za TPDF na kunitaka nikemee ushoga! Sasa kwanini tuzunguke sana ikiwa shoga naye akitubu ataenda mbinguni kama ambavyo mzinzi naye akitubu ataenda?

Mimi nilikupa maandiko haya:

Luka 6: 42
Au, utawezaje kumwambia ndugu yako, Ndugu yangu, niache nikitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako, nawe huiangalii boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi kilichomo katika jicho la ndugu yako.

1 Wakorintho 6: 9 - 10
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,

10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

1 Wakorintho 6: 18 - 20
18 Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.

19 Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;

20 maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu.

Mwanzo ulikuwa unarukaruka ila baada ya kulipata hilo andiko moja ndiyo umeamua ushikilie hapo hapo ukifikiri kwamba hilo andiko ndiyo litafunika hayo maandiko mengine yote! Unafikiri hilo andiko la ufunuo ulilokazania ndiyo linapinga hayo maandiko mengine yote?

Hakuna sehemu biblia inasema adhabu ya moto itatofautiana kulingana na dhambi alizotenda mtu! Labda unioneshe ni wapi biblia inasema kuna levels za ukali wa moto wa jehanam kulingana na ukubwa wa dhambi nioneshe!

Mkuu wewe ndiyo hujui kuchambua biblia ndiyo maana ukatoa mifano kama eti sijui kwanini Lutu alipokuwa anakunywa pombe na kufanya mapenzi na wanawe ule moto wa Sodoma na Gomora haukuja kuwaunguza na wao duuh! Haki nilicheka na kushangaa sana siku ile!

Na inaonesha hata Mungu mwenyewe bado hujamjua vizuri namna anavyofanya kazi zake achilia mbali hayo maandiko yake! Sema kwa vile nimekaa kimya kuhusu hayo mkuu wangu basi ndiyo ukajiona unajua kuchambua hayo maandiko kuliko hata wale waliyoyaandika mwee na kuwaona wengine hawajui kitu!

Kwahiyo mimi kukalia kimya baadhi ya mambo ambayo naona kabisa hauyajui na umepuyanga haikufanyi uwe sahihi katika hayo yote unayoandika! Ila wewe naona umekazana kusema tu nimeshindwa sijui wewe ndiyo mshindi sasa sijui ni mashindano gani hayo ambayo umeshinda dooh pathetic!

Na naona unafikiri kwamba mimi kufunga huu mjadala basi ndiyo nimeshindwa kuendelea kukuelewesha au eti nimekubaliana na wewe kwa kila ulichoandika! Maana naona unanilazimisha kweli nikubaliane na wewe tofauti na mimi ninayekuelewesha taratibu na kukuacha ujitafakari ili ukitaka uyachukue usipotaka uyaache kiroho safi tu!

Niliamua kufunga mjadala ili niokoe muda wangu na nguvu zangu maana nimeshaona hapa hatutafika mwisho wala kufikia suluhisho halafu sifaidiki na chochote! Mimi ninapoquote wengine wala sijakutaja wewe ila umejihisi tu mimi nimeamua kukuacha ubaki na imani yako na mimi nibaki na imani yangu ila kama utataka kuendelea kujitunuku huo ushindi hewa basi endelea tu mkuu the floor is all yours mie huo utoto siuwezi so nimeshamalizana na wewe kuhusu habari za ushoga na hayo maandiko usiyojua tafsiri yake!
Hakika hapa umeua kila kitu. sana mommah. Kweli bible unajua kuichambua na kuielewa vyema. Ubarikiwe sana.
 
Na wewe haunielewi

Endelea na weight zako mkuu
Mungu ana kipimo chake ambacho si chako.

Na hatutakaa kamwe tuelewane katika hili


Endelea tu na nyimbo za kuabudu mkuu,,huko tutaelewana.
mnanichekesha sana nyie khaaah.
 
Mnaweza kuwa sawa ila kuna mambo yatia kinyaa.

Hema pata picha kua man wako anainamishwa ni aibu kidume kubokolewa.
Tukichekelea kwa wenzetu mzunguko utakuja kutufikia

Wafumwe ke wakijirdhisha wenyewe na me nao kivyao aibu kubwa itaangukia wapi?
Mkuu wanawake kupost picha za uchi humu mitandaoni na watu kupost videos wakifanya ngono hadharani wakati lile ni tendo la faragha tena baina ya watu waliofunga ndoa tu je mnaona ni sawa na siyo dhambi? Kwanini huwa hamkemei na ndiyo kwanza mnashangilia?

Hivi hamjioni wanafiki kukemea dhambi fulani fulani tu na kuziacha nyingine? Sisi siyo kwamba tunatetea ushoga ila tutajiona wanafiki kwa sababu wanawake wanapopost picha za uchi na kujitangaza umalaya huwa tunakaa kimya ila kwenye ushoga tu ndiyo tuongee kweli?
 
Sasa uniambie baada ya sodoma na gomorah kuangamizwa, na huu wa sasa umeibukaje? Naomba unijibu kwa ufasaha.

Afu huyo aliye iangamiza sodoma na gomorah anashindwa vipi kuangamiza tena saivi? au amewaomba mumsaidie?

Babuuh naomba nijibu kwa ufasaha, usihemkwe jibu kwa utulivu.
Sodoma na Gomorrah iliangamizwa kwa sababu ya kufuru ya kuzibuana mitaro.. Kumbuka hii dhambi ndio ilikula kichwa cha mke wa Lutu...!
Binadamu wote tunatenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu na si wakamilifu ndio maana haya matendo yanajirudia
Mungu alishasema hataangamiza tena ulimwengu kwa maji au moto kwakuwa sasa yuko aliyemwaga damu yake ya thamani pale msalabani Golgota ili kila amwaminiye asipotee dhambini bali aokolewe na kuandaliwa kuurithi uzima wa milele
Haya yanayotokea sasa hakuna jipya bali ni marudio ya ambayo yalishatokea na kuleta ghadhabu kubwa machoni mwa Bwanaa.. Lakini kwakuwa baadhi yetu tu wagumu kupokea maonyo tunashupaza shingo na kudhani maonyo hayo si lolote si chochote kama tusipokombolewa kwa neema basi Mungu anajua namna bora ya kuadhibu
 
Umenifurahisha sana kwa hii posta yako..

ila nikazie kidogo Mtu anapokemewa dhambi akiwa shingo ngumu, biblia inatuelekeza

1 Wakorintho 5:2
Nanyi mwajivuna, wala hamkusikitika, ili kwamba aondolewe miongoni mwenu huyo aliyetenda jambo hilo.

1 Wakorintho 5:6
Kujisifu kwenu si kuzuri. Hamjui kwamba chachu kidogo hulichachusha donge zima?

Kila aina ya dhambi ni ya kukemewa mkuu wangu. Na mtu akiwa mtataa kwenye kubadirika biblia inatuambia tumtenge na kwetu awe kama mtu wa mataifa na sio kumkubatia
Sasa mbona dhambi nyingine hamkemei mkuu wangu? Mbona sijawahi kuwaona makahaba wakikemewa kama mashoga wanavyokemewa?

Ni kweli mtu akikanywa aache dhambi na akakataa basi atengwe tu! Lakini kwanini mchague hao watu wa kuwatenga hamuoni kama mna ubaguzi?
 
Waefeso 5:18
Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;

Luka 21:34
Basi, jiangalieni, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafula, kama mtego unasavyo;

Uhuru day
Umenichekesha yaani tungekuwaga hivi siku zote wallahi dunia ingekuwa mbali sana
 
Sodoma na Gomorrah iliangamizwa kwa sababu ya kufuru ya kuzibuana mitaro.. Kumbuka hii dhambi ndio ilikula kichwa cha mke wa Lutu...!
Binadamu wote tunatenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu na si wakamilifu ndio maana haya matendo yanajirudia
Mungu alishasema hataangamiza tena ulimwengu kwa maji au moto kwakuwa sasa yuko aliyemwaga damu yake ya thamani pale msalabani Golgota ili kila amwaminiye asipotee dhambini bali aokolewe na kuandaliwa kuurithi uzima wa milele
Haya yanayotokea sasa hakuna jipya bali ni marudio ya ambayo yalishatokea na kuleta ghadhabu kubwa machoni mwa Bwanaa.. Lakini kwakuwa baadhi yetu tu wagumu kupokea maonyo tunashupaza shingo na kudhani maonyo hayo si lolote si chochote kama tusipokombolewa kwa neema basi Mungu anajua namna bora ya kuadhibu
Ahsante babuuh kwa andiko lako hili tena nimelisoma mara 3 na kulielewa vilivyo.

1, hakuna jipya yote haya ni marudio tyuuh ya yaliyokuepo zamani.
2, hakuna asiye na doa, makosa wala upungufu wa utukugu wa Mungu.
3, Mungu hataangamiza tena kwa maji na moto maana yupo aliyeitoa damu yake na kufa msalabani golgota, ili ukombozi uwepo kwa wamuaminiao, na wale wasiotii maonyo hayo basi MUNGU. ana namna yake ya kuadhibu.

Nadhani sasa wee babuuh hebu soma kwa ufasaha hivi nilivyoviandika kutoka ktk andiko lako, nadhani utapataa kitu.


Ahsante sana babuuuh, ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom