Selfika na JF: Snap it. Show it

Uzi wa selfika yeah' too much memes nenda Uzi wa vituko.

Kwa siku usizidishe memes 3.

Usinijibu vbaya maana nitakubonda
Naanzaje sasa wiii, wee nionee utakavyo wala sina noma mie, kuna watu humu swezi kuwajibu vibaya juu ya busara na utashi wao hata wanikwaze vipi, wee ukiwemo,

Nisamehe wii leo yaan nko happy sana, sijui kuna mabadilko gani yanakuja juu yangu,

 
Na wale wanaoresist wajitahidi kuanzisha mada zao huko.

Hapa ni picha tu.


Mimi niliyemkwaza yeyote apambane na hali yake.
cc omba msamaha bhana, wee hujui baadhi ya watu wa humu wanapenda kuabudiwa? Wao ni watakatifu na hawana kosa wala doa.

Sometimes uvumilivu unashindikana aaah basi kinaumana, ila sipendi iwe hivyo.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…