Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,403
Ngoja kwanza nifurahie Ph.D yangu kidogo mkuuHiyo avatar naomba uitoe![]()



Ngoja kwanza nifurahie Ph.D yangu kidogo mkuuHiyo avatar naomba uitoe![]()






nimechekaaaaI hope huyo aliyejibu sio Msukuma mwenyewe😅
Wowww wowwwwwView attachment 2036041
Fanya kunitumia picha ya katoto mazuri nime kamisii



ahsante sana NuzulatiKimara sehemu ganiNiletee basi hapa kimara
Kuna afande mmoja alikuwa anaingia class akikukuta umezubaa ' umekaa kaa kiree anakuwasha banzi moja takatifu afu anakwambia smile au cheza kiduku.
Alinikutaga sijavaa skafualooooh
![]()





usinikimbushe nlipokua kabuku bhana wee, sometimes nashukuru sana, maana nakua jasiri, mkakamavu na mwenye nguvu, 


Sasa kwahiyo km una watoto wa kiume? Si uchukue jukumu la malezi kwa hao wanao juu ya kupingana na ushoga? Au mashoga wao hawana wazazi? Au waliwatuma wawe mashoga?Hii ishu ni case sensitive sana hasa kwa sisi tulio na watoto wa kiume.. Ina maumivu yake makali unless kama huna watoto










Majobless huu ni muda wetu wa kutoka kwenye kochi kwenda kupumzika tena kitandani




acha zako bhana wee lol.Ni kuomba Mungu sana. Ukipata litoto lishoga ni mtihani hevi wa Cambridge cha mtoto!





![]()
Mashoga wanatakiwa wapewe adhabu ya kifo hapo ndio tutaokoa kizazi hiki
Kila siku mambo yanazidi kuzidi unga nadhani kama taifa tunapaswa tuchukue maamuzi magumu sana Hatuwezi kuokoa taifa kwa style hii nenda arusha muone ushoga ulivyoharibu vijana dar ni cha mtoto arusha ndo hali mbaya.... Hatuwezi kujenga taifa kwa hali ilivyo mbaya... Nashauri mashoga wapewe...www.jamiiforums.com






sasa je umeona comments za watu wako wanavyo weweseka? Si wawapige mawe na kuwaua na kuwatupaa mtoni km wanavyodai, wanabaki kulia lia, 









Tena nenda ukatambe na kujishaua upendavyo huku ukirusha mikono huku na huko; na kurembua tani yako huku tyuuh na jomoni za kutosha zikikutokasasa je umeona comments za watu wako wanavyo weweseka? Si wawapige mawe na kuwaua na kuwatupaa mtoni km wanavyodai, wanabaki kulia lia,
Ahsante sana kwa kunionesha huu uzi, ndo nazamia mazima huko, maana uwanja ni wangu, naenda kutamba niwezavyo, weuweeeeeeeeeeeh![]()



Tena ikibidi uhamishie mapambano na harakati zako huko mazima. Huku tuache bana tuendelee tu kuselfika kwa amani kwa sababu haya mambo yako hayakawii kuchafua hali ya hewa hapa....
hahahaaaha sisi vijana wa zamani ...tunatumia kikubwa ..subiri itaatumwa tuTuma humu!!!!! Nasubiria kwa hamu!
Teh tehhahahaaaha sisi vijana wa zamani ...tunatumia kikubwa ..subiri itaatumwa tu
Duh kwani Wewe ni shoga mbona unaipenda hii mada samahani kwa kukomentsasa je umeona comments za watu wako wanavyo weweseka? Si wawapige mawe na kuwaua na kuwatupaa mtoni km wanavyodai, wanabaki kulia lia,
Ahsante sana kwa kunionesha huu uzi, ndo nazamia mazima huko, maana uwanja ni wangu, naenda kutamba niwezavyo, weuweeeeeeeeeeeh![]()
Na uende mazima usirudi huku tenasasa je umeona comments za watu wako wanavyo weweseka? Si wawapige mawe na kuwaua na kuwatupaa mtoni km wanavyodai, wanabaki kulia lia,
Ahsante sana kwa kunionesha huu uzi, ndo nazamia mazima huko, maana uwanja ni wangu, naenda kutamba niwezavyo, weuweeeeeeeeeeeh![]()
Duh kwani Wewe ni shoga mbona unaipenda hii mada samahani kwa kukoment
rafiki kuwa msomaji zaidiDuh kwani Wewe ni shoga mbona unaipenda hii mada samahani kwa kukoment
Asante kwa kunikumbusha rafikirafiki kuwa msomaji zaidi