Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamaa mmoja alikuaga akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari castle kili then anatafta meza yenye viti vitatu anakaa nakunywa zile bia moja bada ya nyingine zote tatu nakuondoka. Alirudia hii tabia mara kadhaa ndipo mhudumu wa ile bar akashindwa vumilia ikabid amuulize kwanin anafanya vile kuagiza bia tatu tofauti na kunywa zote? Yule jamaa alimjibu kua waliekeana makubaliano na rafik zake wawili ambao aliishi na kufanya nao kaz kwa pamoja kwamba endapo wangetengana au kuhamishiwa maeneo tofauti bas kila mmoja popote atakapokua akienda bar kunywa bas awanunulie wenzake bia walizokua wanatumia na azinywe ikiwa sehemu yakuwakumbuka nakuenzi undugu au urafik wao kwahiyo hata jamaa nao walikokua walifanya the same.... Siku nyingine tena mambo yalikua tofauti, jamaa aliingia bar nakuagiza bia mbili tu castle na kili, mhudumu alishangaa tena ikabid amuulize kulikoni au kuna mmoja amefariki kati ya wale marafiki zake? Jamaa akamjibu hakuna aliyefariki wote wapo isipokua yeye ndo kaamua kuacha pombe...

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa mmoja alikuaga akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari castle kili then anatafta meza yenye viti vitatu anakaa nakunywa zile bia moja bada ya nyingine zote tatu nakuondoka. Alirudia hii tabia mara kadhaa ndipo mhudumu wa ile bar akashindwa vumilia ikabid amuulize kwanin anafanya vile kuagiza bia tatu tofauti na kunywa zote? Yule jamaa alimjibu kua waliekeana makubaliano na rafik zake wawili ambao aliishi na kufanya nao kaz kwa pamoja kwamba endapo wangetengana au kuhamishiwa maeneo tofauti bas kila mmoja popote atakapokua akienda bar kunywa bas awanunulie wenzake bia walizokua wanatumia na azinywe ikiwa sehemu yakuwakumbuka nakuenzi undugu au urafik wao kwahiyo hata jamaa nao walikokua walifanya the same.... Siku nyingine tena mambo yalikua tofauti, jamaa aliingia bar nakuagiza bia mbili tu castle na kili, mhudumu alishangaa tena ikabid amuulize kulikoni au kuna mmoja amefariki kati ya wale marafiki zake? Jamaa akamjibu hakuna aliyefariki wote wapo isipokua yeye ndo kaamua kuacha pombe...

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Hahahahahaha fala sana huyoo
 
Mbona wote mademu hao mzee...au umekosea sio video clip hii??
Ndio hiyo mkuu, ni msela kabisa.View attachment 2033484View attachment 2033485View attachment 2033489View attachment 2033486View attachment 2033487View attachment 2033488
Screenshot_2021-12-05-11-04-32-01_50ef9f5a0f3fc24b6f0ffc8843167fe4.jpg


Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa mmoja alikuaga akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari castle kili then anatafta meza yenye viti vitatu anakaa nakunywa zile bia moja bada ya nyingine zote tatu nakuondoka. Alirudia hii tabia mara kadhaa ndipo mhudumu wa ile bar akashindwa vumilia ikabid amuulize kwanin anafanya vile kuagiza bia tatu tofauti na kunywa zote? Yule jamaa alimjibu kua waliekeana makubaliano na rafik zake wawili ambao aliishi na kufanya nao kaz kwa pamoja kwamba endapo wangetengana au kuhamishiwa maeneo tofauti bas kila mmoja popote atakapokua akienda bar kunywa bas awanunulie wenzake bia walizokua wanatumia na azinywe ikiwa sehemu yakuwakumbuka nakuenzi undugu au urafik wao kwahiyo hata jamaa nao walikokua walifanya the same.... Siku nyingine tena mambo yalikua tofauti, jamaa aliingia bar nakuagiza bia mbili tu castle na kili, mhudumu alishangaa tena ikabid amuulize kulikoni au kuna mmoja amefariki kati ya wale marafiki zake? Jamaa akamjibu hakuna aliyefariki wote wapo isipokua yeye ndo kaamua kuacha pombe...

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Kastori kafupi Ila katamu na kanafundisha
 
Back
Top Bottom