hata mimi nilikuwaga nasema ivyo ivyo nilikuja kujikuta nimedata kwa ka. fala fulani tu hakana hata mzigo kiivyo na kananiendesha hatari ndipo nilipogundua maisha hayana formula
Ukifika kigamboni kata kulia kunagar imepaki ukienda mbele kidogo utamkuta jamaa anasoma gazeti basi kata kushoto utakuta watoto wanacheza vuka mtaro pembeni utakuta mama anachoma vitumbua basi hapo utakua umekaribia
Ukifika nipigie cm