Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

punguza makasriko yako wee kijana, wee ukinywa pombe, na mwenzako akakunjwa 7, unaumia na kuteseka wapi?

Na uache kupanick hovyoo, nlishakuambia huna hoja wee, ulikua mbishi, kilichofuata?

Poleeeeeeeeh.
Achana na wavuta bangi.
 
Ulcers ni mbaya, asikwambie mtu,,from wailes to sudani just for a snack ili viache kuuma,,, na dawa za mwezi mzima View attachment 2031998

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana.
Mimi niliugua na nilipona bila kumeza hiyo dosage ya hospital maana niliona siwezi kuhimili mikiki yake.

Nilijitahidi kula mara kwa mara na vyakula laini ,nilipendelea zaidi mlenda.

Nilitumia unga wa mbegu la parachichi ndani ya wiki kadhaaa...
Pia nilifanya sana maombi kwa imani, hatimaye nikapona kabisa ndani ya miezi miwili tu
 
Pole sana.
Mimi niliugua na nilipona bila kumeza hiyo dosage ya hospital.

Nilijitahidi kula mara kwa mara na vyakula laini ,nilipendelea zaidi mlenda.

Nilitumia unga wa mbegu la parachichi ndani ya wiki kadhaaa...
Pia nilifanya sana maombi kwa imani, hatimaye nikapona kabisa ndani ya miezi miwili tu
Daaaamn,, bi mkubwa kashapiga sana kelele kwenye parachichi mie ndo kwanza kama sisikii,,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom