Selfika na JF: Snap it. Show it

kumbe una mipasho iv, kuliko hata khadija kopa lol. Ficha ujinga wako, ndo maana hata wenzio wamekuacha, umeshindwa ku argue umebaki kuhemkwa, msieeeew

Poleeeeeh sana kijana, hapo huvuti uko hivyo je ukivuta? Tukutane tarakea.


Kunywa maji mengi na u relaaax, ikizidi sana muone daktari, hovyoooooooh.
 

Amani ndugu zangu. Amani
 

Attachments

  • IMG-20211203-WA0065.jpg
    82 KB · Views: 6
Bageshi. Jiangalie. Waweza jikuta unazoea kuandika hivi. Kikao cha ukoo kitafanyika haraka na kukutenga kabisa. Lekaga gete!

Ila ūtogilwe bakima noi. Nadīna wasiwasi
Hapana bhageshi siwezi kujikuta naendelea kuandika hivyo

Nilikuwa najaribu kumuchokoza dada yangu kipenzi mzuri Makiwendo ili nione anavyochukiaga


Kati ya watu ambao huwa nachukia na kukasirishwa na uandishi wa hivyo ni mimi bhageshi

Hahaha....Yoooo abhakima nabatogilwe no nkoi hasa abape
 
Best thing ni kubofya kile kitufe tu..ignore/block .hutaona hizo tyuuuuu...jomoneee. watu wanaitana my wiiii na shoga babeq, yaani mwanamke na mwanaume wanaitana wifi, sasa sijui kaka zao ndio wanapakuwa au niaje, kweli uvumilivu ni kipaji, mtori umeisha sasa ni kula nyama tu


Basi bwana!
 
Enwei
Have a blessed weekend.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…