Tuvumiliane.
Ni kama vile tu wengine wanavyopost pombe,kunywa pombe na kusifia bia.
Wengine tuna mtazamo tofauti na ulevi ila tunavumiliana tu hivyohivyo.
Ni kama wengine tunavyopost mapicha picha humu,mengine ya hovyo,,ila tunavumiliwa tu hivyohivyo na wengine.