Selfika na JF: Snap it. Show it

Uyo mwenye la kuchumpa la kumpa rama yuko wap sahz 😃😃😃
Mwambie wana jf wanampa salaam
 

Umefikiria nini mpaka ukauliza hili swali?

Kwa vile mwanaume huwa hat*mbwi, ni wazi hawezi kubebeshwa kauli ya utendwa (kut*mbwa) na utendewa (kut*mbewa). Hapo itakubidi tu useme

"Hakuna kitu inauma kama kujua mwanaume wako anat*mba mwanamke mwingine"
 
Mungu ni mwema!

Ntafanya hivyo kadri nafasi inavyopatikana. Uendelee kwa Rafiki mwema. Kama ambavyo imekua tokea nikiwa naitwa Samaritan.

Barikiwa sana
Thanks for the blessings best Nilikua kavuta kumbukumbu hazijiii dahhh! Miss you more rafiki ukuwe na usiku mwema!! Long time aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…