Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Cute B yupo wapi kaka shemeji?Unamaswali magumu mnoo...
Umemzuia kuja kupost?
Cute B yupo wapi kaka shemeji?Unamaswali magumu mnoo...
hapana wengine enzi tunasoma hatukuwa na walimu visu sorry I mean mapanga hivi😄😄😄Kwanini mkuu?
Unadhani huwa nacheka cheka shule?
Tena mimi wananiita madame mnoko. Na viboko vyangu vinauma hatari.
Na nikiamua kula sahani moja ni mwanafunzi atakiona cha moto.
Na nguo ni nguo za vitenge na zinazopwaya, ukiniona haudhani ni mimi..
Namsubiri ajibu mashambuliziHili pambano linazidi kunoga....puliiiiz kontinyuuu

Nimepigilia na 4View attachment 1223991
Hahahaha hata mi naonaNa hapo nitamshinda mshana
Naona karudi kabatini kidogoNamsubiri ajibu mashambulizi![]()
Ila nini? Ila sura mbaya?Dada una kifua kizuri ila
Nitakuonjesha viboko vyangu.Wewe viboko vyako havijamzid rc mbeya.
Bigup madame
Kwenye tenge? Utacheka uvunjike mbavu burehapana wengine enzi tunasoma hatukuwa na walimu visu sorry I mean mapanga hivi
Natamani kweli nione tenge linavyokutoa
kwanini sasa my... To be..!
![]()
Nafurahi kusikia.Hilo chimbo la haya madin inabid linihusu. My lovely mama toto pia ni mdau saana
Ni wewe hapo si umesema ili kupendeza nibonyeze #
Wababa nyie hamuendi jumuia
.Na ahakikishe anakuja na vitu vya ukweliNaona karudi kabatini kidogo

Hapana sentesi imekamila mbona tayari. Una kifua kizuriIla nini? Ila sura mbaya?
Sikubali picha mpaka tuonane ndio nitatoa uamuziSasa mshana nadhani umeshaelewa kipi ekpensivuView attachment 1223980View attachment 1223981
NdiwoooAisee, kumbe mate ulinifahamia kwenye mkwaruzano