sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Hahaha yaaani jeans is every thing. Weekend thingsKaka shemeji nimependa outfit yako.
Napenda sana jeans , shati halafu ichomekewe na kiatu kizuri.
Hahaha yaaani jeans is every thing. Weekend thingsKaka shemeji nimependa outfit yako.
Napenda sana jeans , shati halafu ichomekewe na kiatu kizuri.
Yule uliyelala nae jana umeshampa chake akaondoka?hali ya hewa inashawishi...
![]()

AmenNawasalimu katika jina la bwana wapendwa,,,,
shukrani kwa Mwenye EnziSalama kabisa
Goood. Safi saaana. The bossladyNimeiona kaka shemeji.
Ila lazima nizungukie miradi yangu maana jumatatu hadi ijumaa nakuwa napambana na chaki. Nikilala na Leo lazima niibiwe.
mwishowe litaanza shindano la viatu Sasa😆😆
Nakutamani jamani![]()
Yule uliyelala nae jana umeshampa chake akaondoka?![]()
Nimekubuhu mpaka inafika hatua,,,nimefanya JF nzima inajuasijutikii katu piga kelele .........sihofiii watu.
Mama na mwanaView attachment 1223538
Hili pambano linazidi kunoga....puliiiiz kontinyuuuSasa mshana nadhani umeshaelewa kipi ekpensivuView attachment 1223980View attachment 1223981
Kwanini mkuu?Walimu Kama nyinyi sijui mlikuwa wapi enzi zetu wakati tunajua dah



. Na viboko vyangu vinauma hatari.Nimekuelewa .Hahaha yaaani jeans is every thing. Weekend things
Dada una kifua kizuri ilaUnakichaaView attachment 1223962
Ukiangalia zinafanana?
View attachment 1223963
Halafu ya jana haikuwa suruali. Nilikuwa inaishia mapajani.
Sasa mshana nadhani umeshaelewa kipi ekpensivuView attachment 1223980View attachment 1223981
Leo sijaegemea na sijasogeza skert ili itune.
Nimevaa inayonifit
Wewe viboko vyako havijamzid rc mbeya.Kwanini mkuu?
Unadhani huwa nacheka cheka shule?
Tena mimi wananiita madame mnoko. Na viboko vyangu vinauma hatari.
Na nikiamua kula sahani moja ni mwanafunzi atakiona cha moto.
Na nguo ni nguo za vitenge na zinazopwaya, ukiniona haudhani ni mimi..
Na hapo nitamshinda mshanamwishowe litaanza shindano la viatu Sasa![]()