Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Satoh Hirosh ndugu yangu 🥲🥲🥲🥲
Satoh Hirosh ndugu yangu 🥲🥲🥲🥲
Hii ni bite bila shaka!!.
Asante Eizyek.
🤣🤣🤣🤣🤣Unataka kusema na wewe ulitii agizo la Paul Makonda la kuhama dsm kwa ambao hatukuwa na shuguli ya kufanya?
Pamoja na Uzee wangu ililazimu nihame dsm kukimbilia Mkoani 😜😜😜
Mnatufanya sie watoto 😅😅😅😅Nini braza?
Nina neno la akiba kwa ako kamdomo.
Jamani jamani!!Siku ukiacha kuzingua nitakupa zawadi
Lips traaaamuuuuuuu!!😘😘😘😘😘😘
Jina langu lilihama kutoka kuwa Baba mwenye nyumba hadi kuwa Mpangaji 🙆🤣🤣🤣🤣🤣
Siunaona vibanda vilivyobomolewa 🙄 Maisha ya Dar yamenizidi nguvu.
Naaam.
Nothing sisitaNini braza?
Mzeeiya!! 😀😀Mnatufanya sie watoto 😅😅😅😅
Morning glory eeh....
utetezi wako unafanya uwe mgumu zaidi ... inabidi ijumaaa tutakeshe morogoro
Inanogaje nogaje kwanza?
Kama grand malt??
Kumbe hata jikoni upo vizuri eehMje mjipakulie.. Na mje na vinywaji.. View attachment 2026192

Mtu unakula na kushibaHii ni bite bila shaka!!.
hakiwezi kuwa chakula serious mtu kushiba