Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Jamani ondoeni emojiiiii
Jamani ondoeni emojiiiii
Kama yupo aliyesema hivyo alizingua tu, huwa nikisema nijaribu naangukia komwe mzee. Kuna watu na bahati zao humu.Kama mimi? acha hizo bhana! mbona kuna uzi walikuwa wanasema Eli wa warembo?? Nyie ndio unafanya standards ziwe juu halafu tunaulizwa mbona huonekani genius kama eli???
Wakubwa mnafaidi bhanaaaa
Ngumu kumeza .Jamani ondoeni emojiiiii
Sijaona 😥 afu uwa napishana nazo sanaaa.Ngumu kumeza .
🤣🤣🤣🤣🤣 nyau weweNikiwa mkubwa ntatafuta hela nitume hahhahahahahhahah
Kumbe sometimes hawa wanakuwa waongo waongo hawa??? Unaweza ukatuma nauli wakaila sio??Kama yupo aliyesema hivyo alizingua tu, huwa nikisema nijaribu naangukia komwe mzee. Kuna watu na bahati zao humu.
Jitahidi umeze hivyo hivyo hahahhahahahaNgumu kumeza .
na wewe hebu wekaaaa. maana naskia skia tu na weweSijaona 😥 afu uwa napishana nazo sanaaa.
hahahhahahahhahhahaah🤣🤣🤣🤣🤣 nyau wewe
Jamani na huwa nawahi kuzifuta .Sijaonaafu uwa napishana nazo sanaaa.
Hahaha nomaJitahidi umeze hivyo hivyo hahahhahahaha
Inamaana wewe hauoni hii hali ya hewa leo? Hapakosi chai ya asubuhi, alasiri, jioni na usiku tena makorokoro mengineduh!
Maisha mazuri sana, yaani kuna chai mpaka ya jioni???
Mkuu wangu T 1990 ELY salamaaaaKaranga za kienyeji View attachment 2026352
😁😁duh!
Maisha mazuri sana, yaani kuna chai mpaka ya jioni???
Salama kabisa mkuu Holy Man vipi kwema pande hizoMkuu wangu T 1990 ELY salamaaaa