Post nisuuze machoNi post nyingine?
Hulali?
Hulali?
Niko nasomaWe mbona hulali
Niko nasoma
Bebe kwan siku imeaishaa??
Hii niliipitaje Jana mimiUsiwasikilize mdogo wangu.
Usiwasikilize kabisa. Nguo zako ni zuri ,zinakupendeza,zinaendana na mwili wako.
Nguo za kisasa sio lazima ziwe suruali za kuchanwa chanwa kama niliyovaa dada yako leo, watu wamekariri tuu.
Wewe haujaona kila picha uliyoituma imetisha?
Hao wanaokuona mbibi wamekariri tuu hawajui kitu.


.






HahahMashindano ya miguu ni lini.View attachment 1223760
Nilitoka outulikuwa umetoka church nini Nyigu??![]()
![]()
![]()
![]()
Upo????Opinions from other pepo should bother you.
Saint...