Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizo ndio za out mwenzio..
Hujaziona nyingine Sasa za kila siku
Magunia haya hapa...nikianza kupondwa Sasa...nawekaga pamba sikioni
Yaani Mimi..Nina matatizo Sana
Nashindwa kuendana na Kasi ya dunia
Hizo ndio nzuri na utapata mume anayezipenda hizo hizo usijali.
Na zinakupendezea wanaokuponda hawajui tuu.
Na pia wanaume wanazipenda sana hizo tofauti na hizi zetu.
 
#2
IMG_20191004_221640_652.jpeg
 
Hizo ndio nzuri na utapata mume anayezipenda hizo hizo usijali.
Na zinakupendezea wanaokuponda hawajui tuu.
Na pia wanaume wanazipenda sana hizo tofauti na hizi zetu.
Ewaaa...Bora umenisapoti kuwa Ni nzuri.
SI wananionaga mbibi.
Mimi sayansi na teknolojia imeniacha mbali Sana +kukulia kijijini yaani mtu haniambii chochote
 
Ewaaa...Bora umenisapoti kuwa Ni nzuri.
SI wananionaga mbibi.
Mimi sayansi na teknolojia imeniacha mbali Sana +kukulia kijijini yaani mtu haniambii chochote
Usiwasikilize mdogo wangu.
Usiwasikilize kabisa. Nguo zako ni zuri ,zinakupendeza,zinaendana na mwili wako.
Nguo za kisasa sio lazima ziwe suruali za kuchanwa chanwa kama niliyovaa dada yako leo, watu wamekariri tuu.
Wewe haujaona kila picha uliyoituma imetisha?
Hao wanaokuona mbibi wamekariri tuu hawajui kitu.
 
Back
Top Bottom