Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,482
- 203,149
Na wew si ulikimbia shindano 😅😅.
Ulipambanishwa na nani ukashinda?![]()
Na wew si ulikimbia shindano 😅😅.
Ulipambanishwa na nani ukashinda?![]()
Hahah😀 😀
Vitu vinavyotupiwa humu vinatikisa mioyo .
"Nakei nakei nakei

Kabisaa! ila tumuombe Mungu asaidie yawe mahusiano ya kheri.Na mahusiano mapya mengi yatatengenezwa na watafunaji na watafunwaji watafanyana sana hapa.......
Haya, usiku mwema
Itabidi irudiweItakuwa ulipambanishwa na saint Anne![]()
Nilikwamia kwenye corridor 😅😅Sijui umekwama wapi![]()
Mmelala?
Nasubiria utupostie ulivotupia kwenye mtoko wa Leo.Itabidi irudiwe



Willian turned to Hazard, Hazard to WillianMmelala?
😅😂😂😂😂😂 dah! Sasa kwanini unanichomolea betri
Si ndiyo hapo sasa, yaani wao wanataka kufanya maovu yao kwa uhuru ndiyo maana hawataki wanawake wanaohoji.Mwanamke wa ndio mume wangu hata ningekua mwanaume nisingemkubali. Unakuaje na mtu hawezi hata kukuongezea kitu?
Wikiend imeanza.
Mpo viwanja gani nije eti.View attachment 1223576

I'm so excited it's already weekend

Lalaga molaHili boko ulilotoa noma sana
Mola sana Nkema.