Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Nilijua umelalaI'm so excited it's already weekend
![]()

Nilijua umelalaI'm so excited it's already weekend
![]()

Manipulated? Hivi kwanini wanaume wengi mnaona kama kuwa fair kwa wanawake ni kuwa manipulated?Sababu wanaume wengi wa JF wamekula Red pills. Na ni ngumu wao kuwa manipulated ndio maana unawaona wako hivyo.
Miss chibongeMiss
Sie akina Dada mwajumaNdio shida yetu vibonge wepesi.
Kwenye Madera Wala hatuonekani.
Tofauti na nyie wenzetu

Mashindano ya miguu ni lini.View attachment 1223760
Unataka niipandishe!?
Hiyo nguo ya hivyo Mimi sina
Unaniaibisha jamaniNiko na bonge ya kanzu

😂😂😂😂😂😂😂😂 roho Yangu me nyepesi, ni wewe tu ndio ulikazaNyoooooso hutaki nimuone ai una roho ngumu mdada
![]()
Wewe yako uliyotoa emoj iko wapi?Itoe hiyo emoj basi
Wewe yako uliyotoa emoj iko wapi?
👌
Nimecheka jamani.Huku sigusi hata kidogo.
Nna tege moja matata Tena miguu Kama chelewa.
Naomba mkifika huku msihangaike kunitafuta![]()
We acha tu...Sie akina Dada mwajuma![]()










😅😅😅 fumba macho unioneUnaniaibisha jamani![]()
Ni post nyingine?Jamani
Amen kubwaKalokole![]()
Magunia yapi? Nguo zako nzuri tena zinakupendelea zinakupa na hipsWe acha tu...
Mtu lazima awe na jicho la rohoni kuona.
Wanaoonekanaga Ni wale wa nguo za kushika.
Wenzangu na Mimi wa kuvaa magunia Ni kwa kudra za mwenyez Mungu![]()



Tayarifumba macho unione
