Selfika na JF: Snap it. Show it

Zile ni shule za wazazi za CCM



Mimi nilikuwa nikifika pale getini ndio kwanza nachechemea vizuri mguu wangu huku nimeushika


Yule jamaa kuna siku sikwenda shule, ile keshoyake nimeenda nikaambiwa Mwambene alikuwa anakutafuta
,niliogopa mno..
Hatujakaa sawa nashangaa anakuja mwalimu kwenye kipindi, akasema wewe unatafutwa na Mwambene akupe zawadi yako
,kale kafeeling(Walimpa kazi ya kutunga pre necta yetu form 4 hiyo)...kumbe niliua kapaper kake ka geog aliyokuwa ametupa+Arrangement ya kazi na mwandiko akapagawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…