Dahhhhh umenikumbusha mbali Sana Asante kwa picha mpaka nimetabasamu kupaona hapo mahala ,,Ila yule mzee alikua fala Sana nadhani hata post ya kufundisha pale alipata kisa ni kindaki ndaki wa CCM maana Ile shule Ina bendera mbili ya taifa na ya CCM
Dahhhhh umenikumbusha mbali Sana Asante kwa picha mpaka nimetabasamu kupaona hapo mahala ,,Ila yule mzee alikua fala Sana nadhani hata post ya kufundisha pale alipata kisa ni kindaki ndaki wa CCM maana Ile shule Ina bendera mbili ya taifa na ya CCM
Mimi nilikuwa nikifika pale getini ndio kwanza nachechemea vizuri mguu wangu huku nimeushika
Yule jamaa kuna siku sikwenda shule, ile keshoyake nimeenda nikaambiwa Mwambene alikuwa anakutafuta
,niliogopa mno..
Hatujakaa sawa nashangaa anakuja mwalimu kwenye kipindi, akasema wewe unatafutwa na Mwambene akupe zawadi yako
,kale kafeeling(Walimpa kazi ya kutunga pre necta yetu form 4 hiyo)...kumbe niliua kapaper kake ka geog aliyokuwa ametupa+Arrangement ya kazi na mwandiko akapagawa.