Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Tangu juzi hauishi tu??🙄🙄Niache na ugali wangu..
View attachment 2017369
Tangu juzi hauishi tu??🙄🙄Niache na ugali wangu..
View attachment 2017369
Sana ali ya ewa manzali kama umo kwenye chai akika nimetembea Tanzania Mungu katujalia maeneo mengi mazuriKuzuri
saiz itabidi wewe unichomeshe


Yaani sasa hivi nikuone kabisa umesimama magomeni kanisani ndio nitakuja.


nitume picha nipo kanisaniNdio maana yakenitume picha nipo kanisani
Na mimi ntakuwepoSawajumatatu nitakuwepo mjini

Haa sawa mpendwa.Na mimi ntakuwepo![]()
Lina damu?Yai la kwanza la kuku, hili yai ndo nnaweza kusema limevunja virginity ya kuku
Mshana Jr mnatumiaje hili huko kilingeniView attachment 2017423

Lina damu?
Virginity ya kwio ina utata kwakuwa tobo hilohilo moja linatumika multiple
Uzazi
Mapenzi
Haja kubwa
Haja ndogo...
Yai ni product ya kukutana kimwili! Sasa haliwezi kuwa ndio limefungua njia.![]()


Merci3 bila now 😂👌Chelsea leo wanajipigia tu mtu hukoView attachment 2017559
Enjoy dogo 😂Leo tunakula vitamu tamu na watoto wenzangu ☺️☺️ baadae movie
Depal Saint Anne Karma Extrovert View attachment 2017628
Enjoy dogo 😂
pembeni 😅Leo tunakula vitamu tamu na watoto wenzangu ☺️☺️ baadae movie
Depal Saint Anne Karma Extrovert View attachment 2017628
Watoto wa kishua tumekutanaaa 😀😀😀😀Namuona mtoto mwenzio hapo
pembeni 😅