Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Nov 19, 2021 #116,901 Kwa hiyo siku nikiselfika, utakuwa tayari kujitoa eeh? Saint Anne said: Ndio waone sasa jinsi ilivyo rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko HS kuweka selfie. Hivi bado watu hawaoni tu kama kujitoa mimi jf haiwezekani! Hivyohivyo HS kuweka picha yake. Tuendelee kumtazamia Bwana wapendwa Click to expand...
Kwa hiyo siku nikiselfika, utakuwa tayari kujitoa eeh? Saint Anne said: Ndio waone sasa jinsi ilivyo rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko HS kuweka selfie. Hivi bado watu hawaoni tu kama kujitoa mimi jf haiwezekani! Hivyohivyo HS kuweka picha yake. Tuendelee kumtazamia Bwana wapendwa Click to expand...
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,682 Nov 19, 2021 #116,902 Heaven Sent said: Angenishinda kwa sababu ya mchuzi, ila akiwa mkavu; unafanya kunitengea wawili kabisa Click to expand... Kumbe upo kama Mimi, napenda zaidi mkavu. Unataka kuniambia unauwezo wa kumaliza kuku wawili? Ukiweza kumaliza utachagua zawadi yeyote nikupe😜
Heaven Sent said: Angenishinda kwa sababu ya mchuzi, ila akiwa mkavu; unafanya kunitengea wawili kabisa Click to expand... Kumbe upo kama Mimi, napenda zaidi mkavu. Unataka kuniambia unauwezo wa kumaliza kuku wawili? Ukiweza kumaliza utachagua zawadi yeyote nikupe😜
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Nov 19, 2021 #116,903 Heaven Sent said: Kwa hiyo siku nikiselfika, utakuwa tayari kujitoa eeh? Click to expand... Ndiyo ndiyo
Heaven Sent said: Kwa hiyo siku nikiselfika, utakuwa tayari kujitoa eeh? Click to expand... Ndiyo ndiyo
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Nov 19, 2021 #116,904 Grahams said: Ubarikiwe mjukuu, see you next time. Click to expand...
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Nov 19, 2021 #116,905 Ambition plus said: Ambition Plus.View attachment 2007892 Click to expand... Ila hizi ID jamani; na humu ndani uwe unaniamkia kama huku nje.
Ambition plus said: Ambition Plus.View attachment 2007892 Click to expand... Ila hizi ID jamani; na humu ndani uwe unaniamkia kama huku nje.
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,682 Nov 19, 2021 #116,906 Heaven Sent said: Jitahidi kula ndizi sana na maparachichi ndugu mwanafunzi Click to expand... Kwa kweli nitajitahidi
Heaven Sent said: Jitahidi kula ndizi sana na maparachichi ndugu mwanafunzi Click to expand... Kwa kweli nitajitahidi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Nov 19, 2021 #116,907 Eizyek said: wanasema dar ukiwa na pesa uwezi ona joto. afu nimekumbuka unarudi lini nikipe i12 zako Click to expand... Ni kweli kabisa. Tusio na magari ndio tunapambana kugombania miendokasi Walio na magari joto wanalisikilia wapi Hizo earphone hadi nishachoka sasa,,kuna siku nilijipanga nije kuzichukua ukanipiga chenga.
Eizyek said: wanasema dar ukiwa na pesa uwezi ona joto. afu nimekumbuka unarudi lini nikipe i12 zako Click to expand... Ni kweli kabisa. Tusio na magari ndio tunapambana kugombania miendokasi Walio na magari joto wanalisikilia wapi Hizo earphone hadi nishachoka sasa,,kuna siku nilijipanga nije kuzichukua ukanipiga chenga.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Nov 19, 2021 #116,908 Priscallia said: And its Furahii day … View attachment 2016495 Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Nov 19, 2021 #116,909 reymage said: Hahaha!nshawekaga hivi wajua akaunti yako nlisahau password na e-mail?! Nimefungua mpya ndo hii Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app Click to expand... Hee! Hebu nikumbushe I'd yako ya mwanzo
reymage said: Hahaha!nshawekaga hivi wajua akaunti yako nlisahau password na e-mail?! Nimefungua mpya ndo hii Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app Click to expand... Hee! Hebu nikumbushe I'd yako ya mwanzo
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Nov 19, 2021 #116,910 Tusitumie mate na wino ungalipo; weka vyuku viwili mezani then uniandalie na zawadi yangu Grahams said: Kumbe upo kama Mimi, napenda zaidi mkavu. Unataka kuniambia unauwezo wa kumaliza kuku wawili? Ukiweza kumaliza utachagua zawadi yeyote nikupe Click to expand...
Tusitumie mate na wino ungalipo; weka vyuku viwili mezani then uniandalie na zawadi yangu Grahams said: Kumbe upo kama Mimi, napenda zaidi mkavu. Unataka kuniambia unauwezo wa kumaliza kuku wawili? Ukiweza kumaliza utachagua zawadi yeyote nikupe Click to expand...
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Nov 19, 2021 #116,911 Jiandae kuimiss JF. Namaanisha Saint Anne said: Ndiyo ndiyo Click to expand...
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Nov 19, 2021 #116,912 Lizzy said: #reflecting View attachment 2016512 Click to expand... Dela zuri saana.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Nov 19, 2021 #116,913 Mshana Jr said: Mada ipi Kati ya hizi?View attachment 2016514 Click to expand... khaaah
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,682 Nov 19, 2021 #116,914 Saint Anne said: Click to expand... Jana ulishindwa kunijoin kugonga glass pale City Pub rafiki
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Nov 19, 2021 #116,916 Grahams said: Jana ulishindwa kunijoin kugonga glass pale City Pub rafiki Click to expand... Ungenibebea unga wangu kwanza ningekuja tunywe mpaka asubuhi
Grahams said: Jana ulishindwa kunijoin kugonga glass pale City Pub rafiki Click to expand... Ungenibebea unga wangu kwanza ningekuja tunywe mpaka asubuhi
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,729 Nov 19, 2021 #116,917
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,682 Nov 19, 2021 #116,918 Heaven Sent said: Tusitumie mate na wino ungalipo; weka vyuku viwili mezani then uniandalie na zawadi yangu Click to expand... Usijali, let's make arrangement. Next Month nitakuwa huko tena.
Heaven Sent said: Tusitumie mate na wino ungalipo; weka vyuku viwili mezani then uniandalie na zawadi yangu Click to expand... Usijali, let's make arrangement. Next Month nitakuwa huko tena.
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,682 Nov 19, 2021 #116,919 Saint Anne said: Ungenibebea unga wangu kwanza ningekuja tunywe mpaka asubuhi Click to expand... Hahahaha.......na ungekunywa Jana hadi ushindwe kutembea manake nilikuwa nimetoka kuuza Mpunga wangu kwa bei ya Christmas 😀💪
Saint Anne said: Ungenibebea unga wangu kwanza ningekuja tunywe mpaka asubuhi Click to expand... Hahahaha.......na ungekunywa Jana hadi ushindwe kutembea manake nilikuwa nimetoka kuuza Mpunga wangu kwa bei ya Christmas 😀💪
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Nov 19, 2021 #116,920 Heaven Sent said: Jiandae kuimiss JF. Namaanisha Click to expand... Nipo tayari Ukiweka picha yako basi najitoa.
Heaven Sent said: Jiandae kuimiss JF. Namaanisha Click to expand... Nipo tayari Ukiweka picha yako basi najitoa.