Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa hiyo siku nikiselfika, utakuwa tayari kujitoa eeh?
 
[emoji1787][emoji1787] wanasema dar ukiwa na pesa uwezi ona joto. afu nimekumbuka unarudi lini nikipe i12 zako
Ni kweli kabisa.
Tusio na magari ndio tunapambana kugombania miendokasi

Walio na magari joto wanalisikilia wapi[emoji16]

Hizo earphone hadi nishachoka sasa,,kuna siku nilijipanga nije kuzichukua ukanipiga chenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…