Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Snap it.Show it
AfgS.jpg
 
Nikisema hapa wakulungwa watanishambulia.

La kwanza kabisa, jamaa wanalipa kodi na serikali imekuwa kali sana kwenye kodi. Marufuku kwa Egyptian kutumia foreign currency, Sisi huko tunaona sifa ukiwa na vijidola vyako.

Magufuli alipozipiga pini bureau de change kelele uliziskia bro. Kiufupi Tanzania ina fursa nyingi sana za kutoboa kabla serikali haijagangamala.
Kuna jamaa (a friend from Egypt) yupo hapahapa nchini ananiambia kwao ni kwa moto, Serikali inakusanya kodi ni balaa.
Anasema kwa Sasa kila mfanyabiashara anaangalia uwezekano wa kukimbia. Tatizo hajapata biashara nzuri ya kufanya hapa bongo. Alikuja na bio fertilizer zikamkata.
 
Kuna jamaa (a friend from Egypt) yupo hapahapa nchini ananiambia kwao ni kwa moto, Serikali inakusanya kodi ni balaa.
Anasema kwa Sasa kila mfanyabiashara anaangalia uwezekano wa kukimbia. Tatizo hajapata biashara nzuri ya kufanya hapa bongo. Alikuja na bio fertilizer zikamkata.
Hatari ndugu.

Lakini Egypt imeendelea huwezi kufananisha na nchi zetu hizi. Moja ya sababu ni kulipa kodi tu.

Sisi wabongo tukiongozwa na wapinzani wanaopingapinga kila kitu ni matatizo sana.

Nkitulia ntaweka baadhi ya risiti hapa. Kodi ni 27%
 
Hatari ndugu.

Lakini Egypt imeendelea huwezi kufananisha na nchi zetu hizi. Moja ya sababu ni kulipa kodi tu.

Sisi wabongo tukiongozwa na wapinzani wanaopingapinga kila kitu ni matatizo sana.

Nkitulia ntaweka baadhi ya risiti hapa. Kodi ni 27%
Huku kwetu wanataka eti watu wabembelezwe kulipa kodi.



Mikumi tena kwa mama.
 
Back
Top Bottom