Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipo mnarani hapa, kwenye huu mnara wa simu, fanya kumtuma Dada H aje anichukue...
Nimevaa shati la maua maua.. kama vipi sogea mwenyewe unichukue..

Leo ndipo nitajua we ni mchoyo au la! Haiwezekani hbd usinialike...
Ahhhhh hauko serious wewe 😬😬
Huko mnarani kote unafanya nini sasa??
Sogea sogea kidogo ñitoke kukupokea 🙂

Uchoyo na hamna party jamani??😁😁 We are just chilling....like we always do 🙂
 
20211120_114537.jpg
20211120_114813.jpg
20211120_114728.jpg
 
Kuna mtu kanielekeza, nimefika hapa kwenye hii nyumba ina geti la ku slide, toka basi ndani nipo hapa nje..

Suala la hamna party, unalijua wewe, siwezi toka hapa leo sijanywa mvinyo au beer...

Toka sasa ndani, usipokuja nitaruka ukuta..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eti hilo nalijua mimi 😆

Sasa mbona tumekaa hapa nje muda tunakusubiria hata hufiki 😕 Ngoja turudi zetu ndani tukasubirie pilau 😏😋
 
Ni kweli kabisa.
Tusio na magari ndio tunapambana kugombania miendokasi

Walio na magari joto wanalisikilia wapi

Hizo earphone hadi nishachoka sasa,,kuna siku nilijipanga nije kuzichukua ukanipiga chenga.
sio chenga ndugu yangu shida ni kuwa kuna mda unakuwa offline ndo tulipokuwa tunapishana
 
Back
Top Bottom