Unacheka nn Demiss?😆😆
Daaah, mkuu unakuja rufaa na haunistui
Karibu mkuuDaaah, mkuu unakuja rufaa na haunistui
😂😂😂😂 nafurahishwa sanaUnacheka nn Demiss?
Shukrani bossKaribu mkuu
Nipo hapa Iyunga.
Kumbe!Shukrani boss
Ila siku nyingine ukija uniambie au unitafute.
Mm ni mlinzi wa hapa geti la emergency, huwa navaa gwanda la blue
Usipotee sana chamdeko 😅😅😅😂😂😂😂 nafurahishwa sana
Hahaha!nshawekaga hivi wajua akaunti yako nlisahau password na e-mail?! Nimefungua mpyaTuone picha![]()
Hahaha!nshawekaga hivi wajua akaunti yako nlisahau password na e-mail?! Nimefungua mpya ndo hiiTuone picha![]()
Dar nasweat kwenye mwendokasi hadi nawaza pengine hewa imefungwa haipo.

wanasema dar ukiwa na pesa uwezi ona joto. afu nimekumbuka unarudi lini nikipe i12 zako
Yaani pamoja na kufundishwa Kinyaki na Mwalimu mbobezi Heaven Sent nimeshindwa kuelewa mlichozungumza mwee![]()
Ndio waone sasa jinsi ilivyo rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko HS kuweka selfieSiku nikiweka kapicha kangu humu, jiandae kutoka JF kabisa
.










Angenishinda kwa sababu ya mchuzi, ila akiwa mkavu; unafanya kunitengea wawili kabisaView attachment 2006976
Hata kama mlinimiss ndiyo mnichinjiye Kuku mzima Wazee?
Wangekuwa rafiki zangu Heaven Sent na shostiake Depal wangeishia kula firigisi tu then wangesema wameshiba, Mimi huyo Kuku aliisha![]()
Ubarikiwe mjukuu, see you next time.Sawa mkuu![]()