Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,221
Nimeacha...Usimwage mchele mbele ya kuku 😀😀😀😀😀
Nimeacha...Usimwage mchele mbele ya kuku 😀😀😀😀😀
Ule uzi niliuona tangu unaanza.muulize Saint Anne
Wadau walikutag kule,,ila nadhani hujapata notification maana walikosea kuandika.Mungu wangu hahaha![]()
Nimeuona leo eti 😂Ule uzi niliuona tangu unaanza.
Nikacheka tu .
Kwani hakuona?Wadau walikutag kule,,ila nadhani hujapata notification maana walikosea kuandika.
Hizo sitiresi nitakuelekeza namna ya kuzitoaila hizi siku nimejikuta napenda movie sijui nimepatwa na nini ? nimeanza hadi kuingia century cinemax 😀😀😀
Dar nasweat kwenye mwendokasi hadi nawaza pengine hewa imefungwa haipo.Dar ndo nyoso
Nimeuona leo eti
Demiss mie jamanimbona nimepotea hivi!!

Ungekuja kuzitoa na vifaa kazi ingependeza saidi 😌😌😌Hizo sitiresi nitakuelekeza namna ya kuzitoa
Ukinitumia kwa Kilimanjaro bus itapendeza![]()



Mada ipi Kati ya hizi?View attachment 2016514
NmekuonaUna utani wa ngumi mdogo wangu, muone kwanza![]()
KwakoWapi huko![]()