Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

my wiii, iv una nn wee lakn?
Wenzako tunalalamikiwa rangi zetu za baridi yaan msuguano had nusu itoke ngozi bado tyuuh, sasa rangi za aggrey zina moto hataree, yaan kugusa tyuuh "pwaaaah"
Nimecheka wakati nakujibu 🤣🤣🤣

We mtoto rudisha simu kwa baba 😂

Whozu ashtakiwe jamani.
 
Level zote nimepiga matukio Ila Nipo calm
So walikuwa wanakamatwa wengine mi naachwa

Primary niliiba mapera mwenye shamba akatudaka tumefikishwa shuleni nikaambiwa niende darasani wenzangu wakatembezewa fimbo za kutosha

O level tulikamatwa na konyagi mi nikanuswa sikuwa na harufu wenzangu wakala suspension

A Level nilikuwa navuka kuchaji simu nikikutana na mwalimu sikimbii namwambia tu najisikia vibaya nafuata dawa pharmacy ananiacha


Nna matukio makubwa nikiweka hapa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom