Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Bonyeza nyota kisha tisa kupata mtupio huo bureKupendeza hivi nabonyeza ngapi
Bonyeza nyota kisha tisa kupata mtupio huo bureKupendeza hivi nabonyeza ngapi
Naona umeona Sasa jinsi nilivyo serious








Usiku mwemeni.
Picha yangu ya mwisho humuView attachment 1223793
Amen....Usiku mwemeni kesho nayo siku.
Tukajenge ndoa sasa![]()
Aisee umenifanya nikumbuke ulichoniambie siku ile kwenye uzi wa Nyanyere.Hizo ndio za out mwenzio..
Hujaziona nyingine Sasa za kila siku
Magunia haya hapa...nikianza kupondwa Sasa...nawekaga pamba sikioni
Yaani Mimi..Nina matatizo Sana
Nashindwa kuendana na Kasi ya dunia
Nimeona L shape furogi.
Aisee, kumbe mate ulinifahamia kwenye mkwaruzano
Mie ndo nilikujulia huko kwenye mabifu... Nikawa nakuogopa balaa
AkhsanteAfrican kwiini..Usitubanie pics bhana.
Unapendezea kweli kwenye hizi African attires!!


NdioMmh unapiga gym nini...maana viwiko vinaonekana konki
hahahha umekosaaaa ni kiluvya gogoniNitapajua tu jamani si maili moja insta babe
Naona umeona Sasa jinsi nilivyo serious
Nimepiga course ya kisukuma balaa..
Ng'ombe 70 mchezo![]()





naona unajituma kweli mdogo wangu pambana hizo ng'ombe zije nyumbani aisePiga maombi.naona unajituma kweli mdogo wangu pambana hizo ng'ombe zije nyumbani aise








Aisee mimi picha zangu nilizotuma nafikiri zinatosha.Akhsante
Tumekumbukwa waafrika
Mbona wewe pics zako unabania ila zangu unataka niachie zote.
Jana umenichezea mchezo mbaya na picha lako la mzungu pale juu


Hahahaha...Aisee umenifanya nikumbuke ulichoniambie siku ile kwenye uzi wa Nyanyere.
Keep it real girl.. More admiration to you









Sawa mwifwa wa anko maguAisee mimi picha zangu nilizotuma nafikiri zinatosha.
Nikisema nitume zaidi na zaidi ntakuwa napunguza uhuru wangu wa kuchangia baadhi ya mada humu.![]()



Haujanizidi mimi my dear yaani hata mama yangu tu anajua kuvaa kuliko mimiHizo ndio za out mwenzio..
Hujaziona nyingine Sasa za kila siku
Magunia haya hapa...nikianza kupondwa Sasa...nawekaga pamba sikioni
Yaani Mimi..Nina matatizo Sana
Nashindwa kuendana na Kasi ya dunia
Haujanizidi mimi my dear yaani hata mama yangu tu anajua kuvaa kuliko mimi











Mbona hukunitag twin chibonge jamani






Unajua hili suala la kuwa fair kwa mwanamke ndio limepelekea leo hii tunaishi kwenye gynocentric society.Manipulated? Hivi kwanini wanaume wengi mnaona kama kuwa fair kwa wanawake ni kuwa manipulated?