Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizo ndio za out mwenzio..
Hujaziona nyingine Sasa za kila siku
Magunia haya hapa...nikianza kupondwa Sasa...nawekaga pamba sikioni
Yaani Mimi..Nina matatizo Sana
Nashindwa kuendana na Kasi ya dunia
Aisee umenifanya nikumbuke ulichoniambie siku ile kwenye uzi wa Nyanyere.

Keep it real girl.. More admiration to you
 
African kwiini.. Usitubanie pics bhana.

Unapendezea kweli kwenye hizi African attires!!
Akhsante
Tumekumbukwa waafrika

Mbona wewe pics zako unabania ila zangu unataka niachie zote.
Jana umenichezea mchezo mbaya na picha lako la mzungu pale juu
 
Akhsante
Tumekumbukwa waafrika

Mbona wewe pics zako unabania ila zangu unataka niachie zote.
Jana umenichezea mchezo mbaya na picha lako la mzungu pale juu
Aisee mimi picha zangu nilizotuma nafikiri zinatosha.

Nikisema nitume zaidi na zaidi ntakuwa napunguza uhuru wangu wa kuchangia baadhi ya mada humu.
 
Manipulated? Hivi kwanini wanaume wengi mnaona kama kuwa fair kwa wanawake ni kuwa manipulated?
Unajua hili suala la kuwa fair kwa mwanamke ndio limepelekea leo hii tunaishi kwenye gynocentric society.

Maana Kwa mwanamke neno fair lina maana ya zaidi ya fair. It's kinda one-sided advantageous shiit, as a red piller i take it as manipulation.
 
Back
Top Bottom