Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizo ndio za out mwenzio..
Hujaziona nyingine Sasa za kila siku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Magunia haya hapa...nikianza kupondwa Sasa...nawekaga pamba sikioni
Yaani Mimi..Nina matatizo Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nashindwa kuendana na Kasi ya dunia
Aisee umenifanya nikumbuke ulichoniambie siku ile kwenye uzi wa Nyanyere.

Keep it real girl.. More admiration to you
 
African kwiini.. [emoji126][emoji126][emoji126]Usitubanie pics bhana.

Unapendezea kweli kwenye hizi African attires!!
Akhsante [emoji3526][emoji3526]
Tumekumbukwa waafrika

Mbona wewe pics zako unabania ila zangu unataka niachie zote.
Jana umenichezea mchezo mbaya na picha lako la mzungu pale juu
 
Naona umeona Sasa jinsi nilivyo serious [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimepiga course ya kisukuma balaa..
Ng'ombe 70 mchezo[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naona unajituma kweli mdogo wangu pambana hizo ng'ombe zije nyumbani aise
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naona unajituma kweli mdogo wangu pambana hizo ng'ombe zije nyumbani aise
Piga maombi.
Na wewe si utakuwepo kuwapokea wale ng'ombe eeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Akhsante [emoji3526][emoji3526]
Tumekumbukwa waafrika

Mbona wewe pics zako unabania ila zangu unataka niachie zote.
Jana umenichezea mchezo mbaya na picha lako la mzungu pale juu
Aisee mimi picha zangu nilizotuma nafikiri zinatosha.

Nikisema nitume zaidi na zaidi ntakuwa napunguza uhuru wangu wa kuchangia baadhi ya mada humu. [emoji848][emoji848]
 
Aisee umenifanya nikumbuke ulichoniambie siku ile kwenye uzi wa Nyanyere.

Keep it real girl.. More admiration to you
Hahahaha...
Hali halisi iko zaidi ya pale[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushamba mzigo
 
Aisee mimi picha zangu nilizotuma nafikiri zinatosha.

Nikisema nitume zaidi na zaidi ntakuwa napunguza uhuru wangu wa kuchangia baadhi ya mada humu. [emoji848][emoji848]
Sawa mwifwa wa anko magu[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hizo ndio za out mwenzio..
Hujaziona nyingine Sasa za kila siku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Magunia haya hapa...nikianza kupondwa Sasa...nawekaga pamba sikioni
Yaani Mimi..Nina matatizo Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nashindwa kuendana na Kasi ya dunia
Haujanizidi mimi my dear yaani hata mama yangu tu anajua kuvaa kuliko mimi
 
Haujanizidi mimi my dear yaani hata mama yangu tu anajua kuvaa kuliko mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi hata mpangilio sina
 
Manipulated? Hivi kwanini wanaume wengi mnaona kama kuwa fair kwa wanawake ni kuwa manipulated?
Unajua hili suala la kuwa fair kwa mwanamke ndio limepelekea leo hii tunaishi kwenye gynocentric society.

Maana Kwa mwanamke neno fair lina maana ya zaidi ya fair. It's kinda one-sided advantageous shiit, as a red piller i take it as manipulation.
 
Back
Top Bottom