Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe we mdogo wangu, hujui hata vocha tuliita dola?

Ziliitwa dola kwa sababu ziliuzwa kwa thamani ya dola tano. Unanunua na wanakuwekea wao baada ya muda flani.

Hapo unakatwa dola moja kila siku, utumie au usitumie. Service charge hiyo.
Unaenda kununua slipway au maduka maalum...tritel walipiga pesa sana
 
Screenshot_20211117-114940.jpg
 
Mkuu, unaishi uzunguni right???
Niliwahi ishi hiyo mitaa miaka ya nyuma kidogo hapo Loleza kwa hiyo napafahamu vizuri mno hapo mjini na viunga vyake vyote.
Kwa hela gani niliyonayo niishi uzunguni?
Nilikuwa na issues zangu tu huko hapo Rufaa,ndio nikatembea hadi Retco maana nilitaka kupita pia Babito.
20211116_115541.jpg
 
Niliwahi ishi hiyo mitaa miaka ya nyuma kidogo hapo Loleza kwa hiyo napafahamu vizuri mno hapo mjini na viunga vyake vyote.
Kwa hela gani niliyonayo niishi uzunguni?
Nilikuwa na issues zangu tu huko hapo Rufaa,ndio nikatembea hadi Retco maana nilitaka kupita pia Babito.View attachment 2014063
Kumbe ulikuwa rufaa tu hapa.
Siku nyingine tushtuane bhn
Nimekosa bahati ya kuonana na mtoto mzuri iviivi
 
Back
Top Bottom