Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,544
- 18,237
ukiniita negro nakupa vitasa siyo vya dunia hii.😂😂😂 kuna topic ya History ilifanyaga watu darasani waanze kuitana ma negro.
Endelea tu kuchukua notes
ukiniita negro nakupa vitasa siyo vya dunia hii.😂😂😂 kuna topic ya History ilifanyaga watu darasani waanze kuitana ma negro.
Endelea tu kuchukua notes
J'pili nilipiga wine ya kutosha nikaweka bia mbili, nikashushia na Nusu glasi ya Nyagi!Kilikuwa kinywaji pendwa [emoji1635] mpaka siku kiliponipa hangover ya kuniua [emoji23]
Black ice mnyama anayeuma huku anapuliza. View attachment 2013418
Kwanini? 🤣🤣ukiniita negro nakupa vitasa siyo vya dunia hii.
[emoji23][emoji23][emoji23]Utambulisho wa Mbeya
[emoji23][emoji23][emoji23] hata Co kivilee.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Basi surprise me with what I want 😁😉Both!😁😁 i mean happily surprised..
Hapana kwa kweli, wee [emoji23][emoji23][emoji23]Nakuambia Mimi[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]yaani nisingesoma we mwanangu wa Pili ujue...mi mbigi sana...!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utapendeza sana dogo[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] wee + ......Hivi umeshafikisha miaka 20 kweli?
Au ndio andaeitini bado[emoji1]
Silichukulii poa inategemea ni nani na ni mazingira yapi Maka utamke nene negro.Kwanini? 🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa! Sijui katoa wapi uhalali wa kuvaa vijogoo wakati begani ni private[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3590][emoji3590][emoji3590]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmekumbka mbali sana, sikuwahi ona furaha ya mdingi km hii siku, ilikua hatareeh lolMnakumbuka hiiiiii[emoji23]View attachment 2013347
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimemkumbuka Matron Lee [emoji4] kivazi kilikuwa kinamtoa karibia kuliko she wote pale.
Hangaya vazi halijamkaa [emoji23] kuna wanyabe vazi linawatoa mpaka unawatamani.
Palikuwa na mjuba mmoja akipiga ile OGiiii huchoki mwangalia.
Ohhh trust me..... it's the best kind ☺Dah! Hio sio surprise ya namna hio ndio naisikia leo...
Anyway nitafanya hivyo..😁😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km mgambo au mlinzi wa sungu sungu lolNaomba magazine nyingine niimalizie kwa aliyeniaminisha kuwa elimu ( ya madaftarini) ni bora kuliko pesa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2013368
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna topic ya History ilifanyaga watu darasani waanze kuitana ma negro.
Endelea tu kuchukua notes
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We ni ticher?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu alitaniwa mpaka akalia, mwingine me bado namba yake nimeisave negro.
Unapiga vyombo tyuuh wii, [emoji23][emoji23][emoji23]Kilikuwa kinywaji pendwa [emoji1635] mpaka siku kiliponipa hangover ya kuniua [emoji23]
Black ice mnyama anayeuma huku anapuliza. View attachment 2013418