Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


We ulikua mkorofi sana...
Mimi nilikua mwizi wa miwa primary, nilikua na kamba ile ndefu, nafunga mua halafu nafunga na kwenye kiuno ile kamba, nikiondoka hio spidi muwa unanifuata tu... mwenye miwa akitoka ndani anaona vumbi tu

Kuwinda ndege, kuiba maembe, zambarawe, aisee utoto bwana..

Olevel sikufanya hayo matukio kabisa...
Huwezi amini umenikumbusha mbali sana..
tena wanafunz wanaotoka mikoa ya mbali, wanaupenda ulanzi sana,
Dada angu alikua na rafk yake, walikua wanasoma wote songea girls, sku ya weekend wakija home, yule dada alkua anakunywa ulanzi had robo 3 dumla, bas anakua kalewa njwiiiiih, ataanza kuongea kingereza chake bas sis kicheko tyuuh.
 
Unazidi kunipa hamasa ya kuonja ulanzi...
Kwa hio lita 1 nalewa?
Kwanza unachelewa sasa? Lita 1 tyuuh utaanza kuongea kimombo hapo had watu wakushangae, ila ulanzi bhana ukilewa njwiiii lazima uanze kuonesha utofauti,
 

We ulikua mkorofi sana...
Mimi nilikua mwizi wa miwa primary, nilikua na kamba ile ndefu, nafunga mua halafu nafunga na kwenye kiuno ile kamba, nikiondoka hio spidi muwa unanifuata tu... mwenye miwa akitoka ndani anaona vumbi tu

Kuwinda ndege, kuiba maembe, zambarawe, aisee utoto bwana..

Olevel sikufanya hayo matukio kabisa...
Huwezi amini umenikumbusha mbali sana..

Level zote nimepiga matukio Ila Nipo calm
So walikuwa wanakamatwa wengine mi naachwa

Primary niliiba mapera mwenye shamba akatudaka tumefikishwa shuleni nikaambiwa niende darasani wenzangu wakatembezewa fimbo za kutosha

O level tulikamatwa na konyagi mi nikanuswa sikuwa na harufu wenzangu wakala suspension

A Level nilikuwa navuka kuchaji simu nikikutana na mwalimu sikimbii namwambia tu najisikia vibaya nafuata dawa pharmacy ananiacha


Nna matukio makubwa nikiweka hapa
 

Dumla ni kipimo gani hicho?

Inazidi kunipa maswali, Hornet kanambia ni kama bavaria, au zipo za aina mbili..

Anyway hio itabidi niishuhudie mwenyewe naweza kuuliza nikamchukiza mtu...

Ulevi wake ni wa kutafutiza
Ukinywa kiasi haulewi Ila Kama ni beginner lazima alewe
 

Dumla ni kipimo gani hicho?

Inazidi kunipa maswali, Hornet kanambia ni kama bavaria, au zipo za aina mbili..

Anyway hio itabidi niishuhudie mwenyewe naweza kuuliza nikamchukiza mtu...
dumla n kipimo flan iv cha lita 4 au kilo 4, sjui wanaita sado, ila kwetu tunaita dumla.
 
Kwanza unachelewa sasa? Lita 1 tyuuh utaanza kuongea kimombo hapo had watu wakushangae, ila ulanzi bhana ukilewa njwiiii lazima uanze kuonesha utofauti,

Sijui ni vile nilikuwa nakunywa wa wizi !
au nilikuwa sugu

Nilikuwa silewi
 
Ulevi wake ni wa kutafutiza
Ukinywa kiasi haulewi Ila Kama ni beginner lazima alewe
ulanzi unalewesha saana hata wanzuki au beer haion ndan dea, labda ukute umechanganywa na maji, ila ule halisi usiotiwa chchte lita 1 tyuuh yko kulewa njwiiiiiih.
 
Sijui ni vile nilikuwa nakunywa wa wizi !
au nilikuwa sugu

Nilikuwa silewi
Ulikua unaiba kwenye mbeta zilizowekwa maji,
Ndo maan hukua unalewa, ila kukojoa mikojo tyuuh mda wte,

Ulanzi ukinywa had mkojo unanuka lol
 

Kasema konyagi ameanza kunywa yupo Olevel, huyo sio wa mchezo mchezo..

Nilianzia banana nikiwa primary

Nikaja nikaonja gongo ile kitu ni
Sijui wanawezaje

Viroba vya Zed nilipiga sana

Old school friends wakiniona nilivyokuwa formal huwa hawaamini Kama ni mimi yule
 
Ipo Netflix?

Nimetoka kuangalia Annabel mpaka usingizi umepaa
Ipo HBO MAX
18461929-71C6-4524-8542-8045972469DF.jpeg
 
Japo Co saan, but naweza kw kias chake,
Ni mtindo unaoanza kusuka pemben ya kichwa na kuelekea upande mwngne, ile style ya jicho la husda,

Nlijifunza kwa kumuangalia mama, nmeaanza kujfunza tang npo std 5,
Ooh vyema ndo unaweza sasa ... Ooh niumepata huo msuko , ulivyo kweli jicho la mwenza .
 
Hapana mkuu, hebu nipe muhtasari..
Hii ni movie imebase kwenye Novel inayoenda na same name.
Hii inazungumzia Sayari ya Jangwa iitwayo Arrakis, ambayo ni dangerous planet kwa kuwa na wanyama waitwao Sandworms pamoja na wakazi wa hapo ambao ni hostile. Vilevile Sayari ya Arrakis inazalisha "spice" drug inayorefusha maisha ambayo ndiyo inagombaniwa na Houses (tawala za sayari nyingine), ambapo House Harkonnen ndiyo ilifanikiwa kupewa Arrakis kama colony. Kwa hiyo watu wa Arrakis nao walijitahidi kupigana vita bila mafanikio wakabaki wakitarajia mwokozi wao ambaye ni kama Messiah ambaye atakuja kuwaokoa. Na huyo dogo ndiyo Paul Attreides, mtoto wa mfalme Letto Attreides, kutoka House Attreides (Sea Planet)Huyu dogo alikuwa anapowers za ajabu sana alikuwa anaweza kuitazamia future kabla haijatokea.
Kwa maoni yangu hii movie ndiyo best movies kuanzia visual mpaka delivery ya waigizaji.
 
Nilianzia banana nikiwa primary

Nikaja nikaonja gongo ile kitu ni
Sijui wanawezaje

Viroba vya Zed nilipiga sana

Old school friends wakiniona nilivyokuwa formal huwa hawaamini Kama ni mimi yule
Zed na double punch nmekumbka mbali sana.
 
Back
Top Bottom