Mr Miyagi
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 935
- 1,668
We si unaona vyombo kabatini vilivyopangiliwa kwa ustadi, kuna bachelor ana huo muda kweli?
Nakazia

We si unaona vyombo kabatini vilivyopangiliwa kwa ustadi, kuna bachelor ana huo muda kweli?

Aah dalali Kama dalali![]()



connector au terminator, hat sielew yaan. 3yrs mnakosea , nimecheka lakini sio vyema, 3yrs mwili haujakomaa kuweza kufikia hatua ya kupambana na sumu ya pombe...
Wekeni sheria mpaka miaka 18 na asiwe mwanafunzi...



ulanzi ule mbna sio pombe, ila tyuuh unalewesha, yaan unanoga sukari mno, ndo maan wazungu wakaita bamboo juice, lolSijambo, za weweHujambo mamy
Napambana shoo😂😂😍😍 shooo wa motooo
Umejitahidi na zimependeza maana ni ndogo ndogo balaa ... mimi kuna misuko sitokuja kusuka kuna mmoja huu unaitwa mwiba wa samaki ni nouma .




nliwah msuka mtu kwa rasta, dadeki nusu niishie njian, 


N wa mujibu au wa kujitolea?Tbt, with the boys View attachment 2006013




Plan zangu ilikuwa ni kuishi Mwanza,
Maisha yamekuja kunipeleka majiji yenye viwanda vya joto,nivuje jasho bure Mimi
Sent using Jamii Forums mobile app



wee cc poleeeh,Unaonekana unajua kusuka eeh .. hongera kwa kipaji hicho , Mimi siwezi kukaa muda mrefu ,nachagua style fulani hivi sio complicated .nliwah msuka mtu kwa rasta, dadeki nusu niishie njian,
Mwingne ni huu wa jicho la mke mwenza af ndogo ndog, unaweza lia kabsaa.![]()
Hapa mbna km misri? Au macho yangu?



Japo Co saan, but naweza kw kias chake,Unaonekana unajua kusuka eeh .. hongera kwa kipaji hicho , Mimi siwezi kukaa muda mrefu ,nachagua style fulani hivi sio complicated .
Hilo jicho la mwenza lipoje yaani kuna misuko .




Kwa kwel zimenoga.Navyozipenda, wacha tu nizitunze vema.. Thank you![]()
Asante sana, nimekaribia.Za mimi njema/salama kabisa mkuu
Karibu
Ulanzi sijawahi hata kuonja, nasikia ukilewa kwa pombe ya kienyeji unaongea kikabila chako...
Ni maamuzi mazuri lakini..
Kwa hivyo haina alcohol?
Hauna alcohol kabisaa, cjui labda ya asili, ila ile n juice inayolewesha,Kwa hivyo haina alcohol?



