cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Tuliagizwa tutakula kwa Jasho, let's keep hustling 💪Mtafutaji na mtumiajiView attachment 2007282
🤣🤣🤣 nimepata ka picha ka mbali mbali... Polenkajua wee ulienda, mie nlienda stasahau 250k yangu kala mjeda ili anitoroshe, na hakunitorosha badala yake sasa nilichokipataa Jah anajua yeye tyuuh.
![]()
Netukorofi huoo.


sema sio mbaya kujua mawili 3 kuhusu wajukuu wa StalinNimefurahi kwa ufafanuzi huu mzuri baba mtumishi.Haupo mbali na ukweli, mama mtumishi.
Pep ni jina lililokua derived kutoka Joseph, Josep, Yosef, Yasaph, Yehoseph ama Yusuf.
Linatumika zaidi na watumishi wenzetu wa pale Catalonia/Katalunya nchini Spain.
Kwanini nalitumia basi?
Moja ni kwasababu jina langu linatokea kwenye hiyo list hapo juu
Lakini pia, Josep Guardiola (arguably the most decorated football coach alive) maarufu kama "Pep" ni role model wangu kwenye ualimu wa soka.
Ameni inspire kwenye mengi, ikiwemo kufanya badges za football management & coaching
Nje ya utumishi, nikiweka Tenzi za Rohoni pembeni, huwa nafundisha watoto some basics za footbal.
__________________________
Mtumishi mwenzangu avatar yako imependeza sana.
Watumishi wenzangu hapa kwenye huduma wameniambia huyo hapo atakua Miss Tanzania.
Wanasisitiza hilo ni confirmed, bado tu announcement.
Embu nipe mwongozo, hiyo picha ni ya mtumishi mwenzetu yupi?






Kwa kipi?Umenitisha![]()
nimepata ka picha ka mbali mbali... Pole



kwanza kule n mateso tyuuh, eti uzalendo, uzalendo ya nyokooooh, msieeeew. 



Kuna vijana walikuwa wanapiga michongo hawaendi. Wakatishwa mtakuwa hamuajiriwi. Weeee mjini connection aiseeeekwanza kule n mateso tyuuh, eti uzalendo, uzalendo ya nyokooooh, msieeeew.
Kutesa watoto wa watu tyuuh, sasa huruma wale wa kujitolea ajira hawapat na KO wanakula za kutosha,![]()
Naam mama mtumishi.Nimefurahi kwa ufafanuzi huu mzuri baba mtumishi.
Niliwahi soma mahala uliandika unapenda sana mpira.
Kumbe ndio maana kifuani si haba
Japo sikuweza kuhusianisha hii id yako na jina lako.
Nina imani utanifundisha na mimi mpira baba mtumishi.
Baba mtumishi,hiyo avatar ni ya binti mlima viazi huku Mbeya ndanindani anaitwa Anne.
Hao wenzio wamekudanganya baba,au wana makengeza
Miss tz anakuwaga rough rafu hivyo kweli baba?
Nimesikitika baba umekuja na maelezo mengi mazuri ila umesahau kipande Cha picha yako ya sura
Tafadhali baba,usije kunifanya nikuombe picha kwa machozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Akawaita afande wa 2 naye wa 3. Bhana bhana nilichokipata sku hiyo stasahau had sku naingia shimon mazima,Kilikupata nini aisee Cocastic?![]()




Yaani weweeee
Kwanz hata waana ajiriwaa sasa? Mbna wamejazan mtaan kibao wanazurura km majitu ya ki Bush man,Kuna vijana walikuwa wanapiga michongo hawaendi. Wakatishwa mtakuwa hamuajiriwi. Weeee mjini connection aiseeee








My wii, mie nigawie rangi na lips tyuuh.



Sio kweli mheshimiwa jaji. Hili liko wazi, hata kwenye kesi ya Mshana Jr dhidi ya wazee wa kuselfika lilizungumziwa na wakakubaliana kwamba mtu akikataa kuweka picha asemwe tu hadharani.OBJECTION, hiyo ni fact Mpya kuhusu Saguda47 kukataa kuweka picha yake jamvini.
Umebarikiwa
OBJECTION: Wakili anamuelekeza shahidi "wakacheze mpira". Hii haihusiani na kesi yetu ya msingi ya "kuselfika"Naam mama mtumishi.
Sitakufundisha tu, bali tutaucheza pamoja.
Nina reputation ya ku spot talents za mpira, kama ambavyo naweza ku spot ma Miss
Mwambie huyo mtumishi mwenzetu nimem spot.
Usisite kumfahamisha kwamba she is the most gorgeous thing I have seen the whole week.
Picha ntaweka mama mtumishi. Wacha kwanza vijana wa mataga waende kulala
Credit to Snapchat. 😂Umebarikiwa
😂😂😂 Endelea tu.Yaani weweeee
Hapa kwema kabisa mkuuKweli aisee umepatia. Baada ya hapo lazima kiusingizi kikupitie
Kwema lakini Usiyesahaulika?