Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,211
Nasikia huo msindano upo kama wa ng'ombe 😂😂Hahahaha.....una nifurahisha mjukuu 😂
Wakati nyie mnaogopa HIV, sisi enzi zetu kulikuwa na ugonjwa unaitwa Kaswende, na Gono. Tulikuwa tukiogopa sana hadi pale miaka ya '73 Wazungu walipotuletea Sindano kutuponya 🙈🏃









