Wacha baba

Kumbe wewe ni Joseph!?
Sikujua hili!
Nilijiuliza sana maswali kuhusu hili jina lako.
Hebu fanya hima baba uweke japo kipande cha sura hapa.
Nikija PM nitakuomba nyingi sana baba,
Tafadhali baba sikia ombi langu usiku huu,
Sema neno moja,likifuatiwa na picha chini,mama mtumishi apate kubarikiwa.
Sent using
Jamii Forums mobile app
Haupo mbali na ukweli, mama mtumishi.
Pep ni jina lililokua derived kutoka Joseph, Josep, Yosef, Yasaph, Yehoseph ama Yusuf.
Linatumika zaidi na watumishi wenzetu wa pale Catalonia/Katalunya nchini Spain.
Kwanini nalitumia basi?
Moja ni kwasababu jina langu linatokea kwenye hiyo list hapo juu
Lakini pia, Josep Guardiola (arguably the most decorated football coach alive) maarufu kama "Pep" ni role model wangu kwenye ualimu wa soka.
Ameni inspire kwenye mengi, ikiwemo kufanya badges za football management & coaching
Nje ya utumishi, nikiweka Tenzi za Rohoni pembeni, huwa nafundisha watoto some basics za footbal.
__________________________
Mtumishi mwenzangu avatar yako imependeza sana.
Watumishi wenzangu hapa kwenye huduma wameniambia huyo hapo atakua Miss Tanzania.
Wanasisitiza hilo ni confirmed, bado tu announcement.
Embu nipe mwongozo, hiyo picha ni ya mtumishi mwenzetu yupi?