Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Karibu sana.


Nataka nirudi nikalime,mvua zimeanza.
kwa kweli, wengne tumekimbia kulima.

Ila cc fanya mpango uende mwanza, jaman pazuri kule sehem, mie nlkua mwanza field miez 2,yaan nmekula samaki wa kila aina,nmezurura ziwa victoria,nlipiga maphoto kibao, lahaulaah cm enyew ikaibwa,

Yaan ngekua natupia mapicha humu kila mda,daaah

Ila,mwanza pazur mno, field ijayo natak niende Mbeya nkajionee maisha rahs. Na utanipokeaa wee cc.
 
kwa kweli, wengne tumekimbia kulima.

Ila cc fanya mpango uende mwanza, jaman pazuri kule sehem, mie nlkua mwanza field miez 2,yaan nmekula samaki wa kila aina,nmezurura ziwa victoria,nlipiga maphoto kibao, lahaulaah cm enyew ikaibwa,

Yaan ngekua natupia mapicha humu kila mda,daaah

Ila,mwanza pazur mno, field ijayo natak niende Mbeya nkajionee maisha rahs. Na utanipokeaa wee cc.
Mmmmmmmmmmh
 
Kulikuwa na ugumu gani kunambia kama upo/ulikuwa mwanza tukaonana na nikawa mwenyeji wako?

Anyway!!

Habari za siku/kwema
Duuuh kichwa chenyew kibovu hiki, na kna mambo mengi nlishahau, nahic tungeonan tyuuh, kuhus mwenyeji nlishakua nae.
JAH akpenda nkfka tym nyngne ntakustua.
Mie kwema sjui wee
 
Duuuh kichwa chenyew kibovu hiki, na kna mambo mengi nlishahau, nahic tungeonan tyuuh, kuhus mwenyeji nlishakua nae.
JAH akpenda nkfka tym nyngne ntakustua.
Mie kwema sjui wee
Sawa

Niko poa/salama kabisa

Karibu
 
Back
Top Bottom