Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,211
Me mtoto wa kike 😩 unaniita mkuu ili iweje?Ooh!!kumbe
Kwema lakini mkuu
Me mtoto wa kike 😩 unaniita mkuu ili iweje?Ooh!!kumbe
Kwema lakini mkuu
Karibu sana.
Nataka nirudi nikalime,mvua zimeanza.



kwa kweli, wengne tumekimbia kulima. 





Wewe wa 80 na ngapi?Saint Anne aione kwenye jalada![]()
Sikujua kama wewe ni mtoto wa kike maana hii jamiiforum ni shida/tabu tupuMe mtoto wa kikeunaniita mkuu ili iweje?

Mmmmmmmmmmhkwa kweli, wengne tumekimbia kulima.
Ila cc fanya mpango uende mwanza, jaman pazuri kule sehem, mie nlkua mwanza field miez 2,yaan nmekula samaki wa kila aina,nmezurura ziwa victoria,nlipiga maphoto kibao, lahaulaah cm enyew ikaibwa,
Yaan ngekua natupia mapicha humu kila mda,daaah
Ila,mwanza pazur mno, field ijayo natak niende Mbeya nkajionee maisha rahs. Na utanipokeaa wee cc.
Vipi tena wee ngosha,?Mmmmmmmmmmh
Kulikuwa na ugumu gani kunambia kama upo/ulikuwa mwanza tukaonana na nikawa mwenyeji wako?Vipi tena wee ngosha,?
Duuuh kichwa chenyew kibovu hiki, na kna mambo mengi nlishahau, nahic tungeonan tyuuh, kuhus mwenyeji nlishakua nae.Kulikuwa na ugumu gani kunambia kama upo/ulikuwa mwanza tukaonana na nikawa mwenyeji wako?
Anyway!!
Habari za siku/kwema
Hiyo ni sekta ya kuitilia Mkazo, ndiyo udhaifu wetu Me wote.🤣🤣🤣 najitahidi kwa kweli.
SawaDuuuh kichwa chenyew kibovu hiki, na kna mambo mengi nlishahau, nahic tungeonan tyuuh, kuhus mwenyeji nlishakua nae.
JAH akpenda nkfka tym nyngne ntakustua.
Mie kwema sjui wee
Ahsanteeeeeh sana.Sawa
Niko poa/salama kabisa
Karibu
Umesahau kuwa enzi zile tunapigania Uhuru wa Nchi Mimi nilikuwa Katibu wao😀Wewe wa 80 na ngapi?
Kama upo juu ya 87 mimi dadako
Hehehe hiyoView attachment 2005650




, hapa kaka angu salary yote itaishia mikonon kwako, tena ataktuma ukachukue mwenyew ATM 



Nimeiiba hii picha niipigie niniliu........Hehehe hiyoView attachment 2005650
Ahsante kwa kunitobolea siri.Hiyo ni sekta ya kuitilia Mkazo, ndiyo udhaifu wetu Me wote.
Ukifuzu eneo hilo hutaitaji uchawi wa Nigeria kunikamata, hela zangu zote nitakuwa nakukabidhi bila kuombwa 🙈
Kwamba zimeisha kabisa? Njoo uangalie hata huku Masanza KonaNimeiiba hii picha niipigie niniliu........
Anakudanganya huyo?Ahsante kwa kunitobolea siri.
Natilia mkazo![]()




tena nicheke kwanzaa. 


