Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahsante kwa kunitobolea siri.

Natilia mkazo 🤣🤣
Nitakuwa nimetengeneza ugomvi na jamaa zetu UWABATA.

Anyways, sisi Wazee tunamalizia pension zetu, kwahiyo hatujali kukukabidhi ATM card zetu 😀
 
Ngoja aje kujitetea unajua huyo jamaa ni kitengo kule tiiaraei?
Wee my wiii usiamshe vinyweleo vyangu,
Yaan nkiona mtu wa tiaraaeiii, akili inavurugika ujue? Ninawaza pesa tyuuh, had najihis n mchagga kbsaa, tena kwa kila ktu.
 
Nitakuwa nimetengeneza ugomvi na jamaa zetu UWABATA.

Anyways, sisi Wazee tunamalizia pension zetu, kwahiyo hatujali kukukabidhi ATM card zetu 😀
Na wazee wote mbarikiwe... NSSF zenu zisichelewe jamani.

Watoto wazuri huko Royal Village wanazisubiri
 
Na wazee wote mbarikiwe... NSSF zenu zisichelewe jamani.

Watoto wazuri huko Royal Village wanazisubiri
iv wii unajua nkiona comment yako full burudaan, wazee waanaliwa pesa na wadent wa chuo had Co poaaah,
Na zisichelewe, dalali mie nisife njaa. Weuweeeeeeh.
 
iv wii unajua nkiona comment yako full burudaan, wazee waanaliwa pesa na wadent wa chuo had Co poaaah,
Na zisichelewe, dalali mie nisife njaa. Weuweeeeeeh.
🤣🤣🤣🤣 we mtoto

Ati dalali usikufe njaa.
 
Labda wazee, ila 20 - 40, hawatoi hela hata, mda wte "kna mchongo nauskilizia" ila nyege zao mchongo hauziskilizii lol
Shusha hapo
Wazee wa 35+ wawe na siku njema
Hao chini ya 35 lolote liwakute 🤣
 
Back
Top Bottom