Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,767
- 22,041
Au nikuoe jamani!!?Hehehe hiyoView attachment 2005650
Au nikuoe jamani!!?Hehehe hiyoView attachment 2005650
Watu na bahati zao aisee 😋🙈Hehehe hiyoView attachment 2005650
Ngoja aje kujitetea 🤣🤣🤣 unajua huyo jamaa ni kitengo kule tiiaraei?Abakudanganya huyo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena nicheke kwanzaa.
Wanaume wa sahv hawatoi hela, na wakiombwa wanatak mkopo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee! Nimeingia mda mzuri eeh...watu wanafaidi sana!!Hehehe hiyoView attachment 2005650
Nimeshtuka sana 🤣🤣🤣 nikadhani tupo tu mimi, Grahams, Ely na CocasticAisee! Nimeingia mda mzuri eeh...watu wanafaidi sana!!
Nitakuwa nimetengeneza ugomvi na jamaa zetu UWABATA.Ahsante kwa kunitobolea siri.
Natilia mkazo 🤣🤣
Wee my wiii usiamshe vinyweleo vyangu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja aje kujitetea [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unajua huyo jamaa ni kitengo kule tiiaraei?
Na wazee wote mbarikiwe... NSSF zenu zisichelewe jamani.Nitakuwa nimetengeneza ugomvi na jamaa zetu UWABATA.
Anyways, sisi Wazee tunamalizia pension zetu, kwahiyo hatujali kukukabidhi ATM card zetu 😀
MmmmmhKwamba zimeisha kabisa? Njoo uangalie hata huku Masanza Kona
Siyo woteAnakudanganya huyo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena nicheke kwanzaa.
Wanaume wa sahv hawatoi hela, na wakiombwa wanatak mkopo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio nishakutobolea hivo 🤣Wee my wiii usiamshe vinyweleo vyangu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan nkiona mtu wa tiaraaeiii, akili inavurugika ujue? Ninawaza pesa tyuuh, had najihis n mchagga kbsaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena kwa kila ktu.
Ninafaidi mno mkuuAisee! Nimeingia mda mzuri eeh...watu wanafaidi sana!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] iv wii unajua nkiona comment yako full burudaan, wazee waanaliwa pesa na wadent wa chuo had Co poaaah,Na wazee wote mbarikiwe... NSSF zenu zisichelewe jamani.
Watoto wazuri huko Royal Village wanazisubiri
😘😘😘 weuweee[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7], hapa kaka angu salary yote itaishia mikonon kwako, tena ataktuma ukachukue mwenyew ATM [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda wazee, ila 20 - 40, hawatoi hela hata, mda wte "kna mchongo nauskilizia" ila nyege zao mchongo hauziskilizii lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siyo wote
🤣🤣🤣🤣 we mtoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] iv wii unajua nkiona comment yako full burudaan, wazee waanaliwa pesa na wadent wa chuo had Co poaaah,
Na zisichelewe, dalali mie nisife njaa. Weuweeeeeeh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hongera sana, wengine tumebaki wapenzi watazamaji.Ninafaidi mno mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah eti sijaoa mikoa yote! JamaniHujaoa?
Au Hujaoa mikoa yote?
Shusha hapoLabda wazee, ila 20 - 40, hawatoi hela hata, mda wte "kna mchongo nauskilizia" ila nyege zao mchongo hauziskilizii lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]