Kama upo 87 kuendelea basi wewe mdogo wangu mweeeNkamu itakua umetudanganya![]()





Kila la kheri mkuuShukran.. tuludi tukalijenge jiji la Bwana

Kwa kuwa amehitimu Chuo mwaka 2019 manake atakuwa amezaliwa mwaka 1996.Nkamu itakua umetudanganya![]()
Hujambo mama mtumishi?Kama upo 87 kuendelea basi wewe mdogo wangu mweee![]()
Kwa kuwa amehitimu Chuo mwaka 2019 manake atakuwa amezaliwa mwaka 1996.
Akibisha nitamuitia wale mabinti aliocheza nao ukuti ukuti waje wathibitishe
Saint Anne



Sijambo baba.Hujambo mama mtumishi?
Kwa minajili hii, unataka kusema hata baba mtumishi ni mdogo wako?![]()



Ujue kuna kaukweli flani... we hunywi pombe...




nakunywa, maji, uji, chai, maziwa, togwa, mbege, kilevi chang n ulanzi tyuuh, vinywaji vya viwandan stumii.Kunywa bia dogonakunywa, maji, uji, chai, maziwa, togwa, mbege, kilevi chang n ulanzi tyuuh, vinywaji vya viwandan stumii.

Vyakula vya vifungashio km hv, swezag yaanNi pilipili anataka kuionja
Belle 9 _Wanitamani
Huyu kaka sijui alipotelea wapi jamani,au ni mimi sifwatilii mziki?!View attachment 2005579
Ulanzi sijawahi hata kuonja, nasikia ukilewa kwa pombe ya kienyeji unaongea kikabila chako...
Ni maamuzi mazuri lakini..




labda komoni,na myakaya, ila ulanzi huongei chchte, Uzuri wake nimebahatika kuonana na wale mashosti zako wa utotoni akina Mary, Atuganile na Princess.
Chuo ndio kitu gani mkuu. ?
Niliishia fom fooo,nikazungusha yai langu nikaenda kukaanga nyumbani.
Hautumii chchte, ule unagemwa kwenye mbeta za mianzi iliyokomaa.
Ulanzi wanatumia nini kutengeneza?
Kumbe ukiwa Msela/Mseja (Bachelor) unaweza kutenga bajeti ya shilingi 60,000 ikatosha kula mwezi Mzima.Price 1000/= Tshs
Kyela Mbeya Tz.View attachment 2005532
Mbeta n vipande vya mianzi inachongwa km umbo la jagi, ila lenyew haliwekew kale kadudu ka, kutiririsha maji, inakua round, ila inatobolewa kat kat tundu la kupitishia ulanz ktok kweny muanz,
Kumbe mianzi ina sukari? Hio mbeta ndio nini? Nipe elimu hapo



