Mwee nkamu [emoji1787][emoji1787]
Kama upo 87 kuendelea basi wewe mdogo wangu mweee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nkamu itakua umetudanganya[emoji23][emoji23]
Kila la kheri mkuu[emoji1666]Shukran.. tuludi tukalijenge jiji la Bwana
Kwa kuwa amehitimu Chuo mwaka 2019 manake atakuwa amezaliwa mwaka 1996.Nkamu itakua umetudanganya[emoji23][emoji23]
Hujambo mama mtumishi?Kama upo 87 kuendelea basi wewe mdogo wangu mweee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kuwa amehitimu Chuo mwaka 2019 manake atakuwa amezaliwa mwaka 1996.
Akibisha nitamuitia wale mabinti aliocheza nao ukuti ukuti waje wathibitishe [emoji1][emoji1]
Saint Anne
Sijambo baba.Hujambo mama mtumishi?
Kwa minajili hii, unataka kusema hata baba mtumishi ni mdogo wako? [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakunywa, maji, uji, chai, maziwa, togwa, mbege, kilevi chang n ulanzi tyuuh, vinywaji vya viwandan stumii.Ujue kuna kaukweli flani... we hunywi pombe...
Kunywa bia dogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakunywa, maji, uji, chai, maziwa, togwa, mbege, kilevi chang n ulanzi tyuuh, vinywaji vya viwandan stumii.
Vyakula vya vifungashio km hv, swezag yaanNi pilipili anataka kuionja[emoji39]
Belle 9 _Wanitamani
Huyu kaka sijui alipotelea wapi jamani,au ni mimi sifwatilii mziki?!View attachment 2005579
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda komoni,na myakaya, ila ulanzi huongei chchte,Ulanzi sijawahi hata kuonja, nasikia ukilewa kwa pombe ya kienyeji unaongea kikabila chako...
Ni maamuzi mazuri lakini..
Wee unakunywa bia? [emoji23][emoji23][emoji23]Kunywa bia dogo
Uzuri wake nimebahatika kuonana na wale mashosti zako wa utotoni akina Mary, Atuganile na Princess.[emoji23][emoji23][emoji23]
Chuo ndio kitu gani mkuu. ?
Niliishia fom fooo,nikazungusha yai langu nikaenda kukaanga nyumbani.
Hautumii chchte, ule unagemwa kwenye mbeta za mianzi iliyokomaa.[emoji16][emoji16]
Ulanzi wanatumia nini kutengeneza?
Kumbe ukiwa Msela/Mseja (Bachelor) unaweza kutenga bajeti ya shilingi 60,000 ikatosha kula mwezi Mzima.Price 1000/= Tshs
Kyela Mbeya Tz.View attachment 2005532
Mbeta n vipande vya mianzi inachongwa km umbo la jagi, ila lenyew haliwekew kale kadudu ka, kutiririsha maji, inakua round, ila inatobolewa kat kat tundu la kupitishia ulanz ktok kweny muanz,[emoji54][emoji54][emoji54]
Kumbe mianzi ina sukari? Hio mbeta ndio nini? Nipe elimu hapo